Giovanni Simeone: Nataka Kuhamia Atletico

Nyota wa Cagliari Giovanni Simeone anashinikiza kuwa anataka kuhamia Atletico Madrid.

Kuna taarifa kuwa Giovanni Simeone anataka kuungana na baba yake Diego Simeone pale Atletico. Lakini kwa mujibu wa staa huyu nia ya kuchezea klabu hii inaendelea kuwepo hata kama baba yake asingekuwa meneja.

Kila mtu ana ndoto yake ambayo angependa iwe kweli siku moja. Staa huyu ni kuwa pale Atletico! Kwa staa huyu kama angeamua kuchagua kipaumbele chochote basi angechagua kuhamia Atletico. Amenukuliwa akisema “Nataka kuhamia Atletico kuliko kityu chochote”

Staa huyu anasema tangia alipokuwa mdogo alipenda kwenda Atletico, hivyo hata ingekuwa namna gani bado hili haliwezi kubadilika.

Akizunguzmia uwepo wa baba yake klabuni hapo anasema kuwa hiyo siyo sababu ya yeye kuhitaji kuwepo klabuni hapo. “Baba yangu ni kocha pale, hata kama angekuwa hafundishi pale bado ningehitaji kwenda klabuni hapo.”

Hata hivyo, amekiri kuwa anatumaini baba yake anaweza kuwa kocha wake siku moja licha ya ukweli kuwa kwa vilabu vingi ni vigumu sana timu kumsainisha mchezaji ambaye baba yake ni kocha wa timu husika.

Simeone, ambaye anamtaja Pipita Higuain kuwa kioo chake kwenye soka anaamini ndoto yake hii itatimia. Huenda akajipata yupo Atletico siku za hivi usoni japokuwa.

 


 

Unafurahia mchezo gani ambao ungependa ukulipe? Piga mkwanja hapa na Meridianbet

JISAJILI HAPA UFURAHIE BONASI

47 Komentara

    Duu itakua hatar sana someone na mtoto wake ila afanye kweli na kukonga moyo wa mzee wake awe na bidii sio mbaya kucheza timu anayo fundisha mzee wako

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Hakuna kit u kizuri kama kutimiza ndoto yako,kila la heri giovanni na safari yako

    Jibu

    Itakua vzur

    Jibu

    Itakuwa ni swala nzuri kuwa pamoja na baba yake

    Jibu

    Mtoto anaamua kurudi kwa baba ili wanye kazi kwa pamoja, ili aweke Record yake naye ya kufundishwa baba yake

    Jibu

    Raha sana mtoto kurudi kwa baba na atafanya kazi kwa kujiamini na kujua kuwa kumbe nayakiwa kujituma ili nisimhaibishe baba

    Jibu

    Itapendeza Sana 👍

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Sio jambo baya

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Hapo patakuwa pazuri mtoto anarudi kwa baba kufanya nae kazi itakua poa sana

    Jibu

    Litakuwa ni Jambo jema sana

    Jibu

    Itakuwa vzr Sana akienda kukicheza pamoja na baba ake Simeone popote kambi

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Itapendeza sana#meridianbettz

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Kesha Itiwa Mshiko#Meridianbettz

    Jibu

    Ni kweli hitakua na ugumu kidogo si laisi kabisa kama vipi baba yake haamie clabu yengine alafu haje hatimize ndoto zake lakini kukaa sehemu moja itakua ngumu

    Jibu

    Furaha sana pale baba unapo Fanya kitu kisha mtoto nae anakipenda safii sana

    Jibu

    Hakuna ubaya Baba na Mwana kuwa timu moja muhimu kila atimize majukumu yake vizuri bila uhusiano huo kuharibu mwenendo wa timu#meridianbettz

    Jibu

    kila mtu ana ndoto yake ambapo angependa itimie siku moja

    Jibu

    Mawazo yake ni mazuri

    Jibu

    Nivizur

    Jibu

    Aamie tu atletico Ili akainue kipaji chake vizuri na kuweza kujifunza mbinu tofauti tofauti nyingi

    Jibu

    Gud news.

    Jibu

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Mawazo yake si mabaya

    Jibu

    Karibu sana

    Jibu

    Unakaribishwa kwa shamra shamra zote njoo upambane.

    Jibu

    Anamawazo mazuri sana jamaa#Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Maoni:Aende tu

    Jibu

    Ni vizur sana haka badili upepo banaa

    Jibu

    Wazungu tunasema like a father like son Kama baba Kama mtoto hii ndo kaul zetu wachambuz wa soka baba yake alikuwa mchezaji mpira kipaji chake kilianza akiwa mdogo Wana shule ya msingi na kupelekea kuitwa had jina la utan “cholo ” kutoka kwa mwalimu wake anaitwa Oscar nesi kipindi hicho ila now anafundisha timu kubwa altetico Madrid Diego simeone kitendo cha giovam kwenda altetico kumfuta baba yake ni habar njema sana 👍

    Jibu

    Akabadili upepo

    Jibu

    Mashabk tunamsubr kwa hamu

    Jibu

    Safi sana Giovanni Simeone, pambana ili siku moja uishi kwenye ndoto yako

    Jibu

    Safi sana kuwa pamoja na dingi patakuwa hapatoshi

    Jibu

    Jambo zurii

    Jibu

    Aende tu kwa baba yake,ila akae akijua baba mwenyewe chizi akicheza utumbo atamueka benchi tu.

    Jibu

    Karibu ila kama pata kufaa

    Jibu

    wamuache aende ni jambo zuri sana kuchagua sehemu aipendayo

    Jibu

    Popote kambi

    Jibu

    Apige kazi kwanza

    Jibu

    Hata hivyo, amekiri kuwa anatumaini baba yake anaweza kuwa kocha wake siku moja licha ya ukweli kuwa kwa vilabu vingi ni vigumu sana timu kumsainisha mchezaji ambaye baba yake ni kocha wa timu husika.

    Jibu

    Gud news

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.