Chong Atua Werder Bremen kwa Mkopo.

Kinda wa Manchester United Tahith Chong amejiunga na timu ya Werder Bremen inayoshiriki ligi kuu nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga kwa mkopo kuelekea msimu unaofuata 2020-21.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 anacheza kama kiungo na alijiunga na akademi ya Man United mwaka 2016 akitokea Feyenoord, ameshindwa kuendana na mfumo wa timu na kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza, ameona bora asepe mahali atakapo pewa nafasi kubwa ya kucheza.

Wakati Ole Gunnar Solskjaer alipo ajiliwa na Manchester United mwaka 2018,Chong alikuwa akionekana kama moja ya makinda wanao pewa nafasi ya kuhamia kwenye kikosi cha wakubwa lakini alishindwa kucheza kwa kiwango kizuri na kumshawishi mwalimu Solskjaer.

Amecheza mechi 16 katika mashindano yote na alikuwa hajaanza kuaminiwa na mwalimu  kucheza kwa kuanza katika Premier League.

Chong amesaini mkataba mpya mwezi Machi kuendelea kuwa mchezaji wa klabu mpaka mwaka 2022, kukiwa na kipengele kinacho mruhusu kuchagua kuendelea kukaa kwa kipindi kirefu.

Mkataba wake na Werder huenda ukaongeza kitu katika soka la Chong kwa kupata fursa ya kucheza michezo mingi na kuanza kikosi cha kwanza katika Bundesliga.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

37 Komentara

    Mkataba wake na Werder huenda ukaongeza kitu katika soka,Chong kwa kupata fursa ya kucheza michezo mingi na kuanza kikosi cha kwanza katika Bundesliga.

    Jibu

    Ataenda kuongeza kiwango chake sababu kule ataenda kupangwa Mara kwa mara

    Jibu

    Mkataba wake na werder huenda akaongeza kitu katika soka Chong huenda atapangwa katika mechi mara kwa mara#Meridianbettz

    Jibu

    Dogo yupo vizuri sana ngoja akaonyeshe kipaji#Meridianbettz

    Jibu

    Mchezaji mdogo sana mwenye uwezo wa juu inaoneka atskuwa mchezaji MKUBWA baadae mana miaka yake bado unaruhusu zaidi

    Jibu

    Wachezaji chipukizi wanahitaji kupewa nafasi kuongeza uwezo wao, leo hii hakuna mtu angemujua Rashford kama Van Gaal asingemupa nafasi ya kucheza na kuonyesha kipaji chake#meridianbettz

    Jibu

    Dogo yupo vizuri sana
    @meridianbettz

    Jibu

    Ni wakati wake sasa kwenda kuonyesha makali yake huko Werder Bremen naamini atapata muda mwingi wa kucheza

    Jibu

    Tahith karibu Werder Bremer karibu bundesliga

    Jibu

    Hapoo kashaaminiwa tayari na mwalimu wake. Yuko vzr saivi

    Jibu

    Chong ameona mbali akingangania kukaa man ameona kiwango chake kitashuka bora alivyotumkia kikosi cha bundesliga na kuongeza mkataba wa muda mrefu hadi 2022

    Jibu

    Vizuri Sana dogo anajuwa

    Jibu

    chong nenda kaoneshe maajabu uko

    Jibu

    Daah dogo anatisha

    Jibu

    Dogo yupo vizuri sana kila la kher huko aendako

    Jibu

    ni wakati wake sasa kwenda kuonyesha kipaji chake huko werder

    Jibu

    Ni jambo zuri muache akakuze kipaji chake.

    Jibu

    dogo yupo vizuli

    Jibu

    Chong akaonyeshe uwezo wake huko

    Jibu

    Tatizo man u wanashindwa kuwatumia makinda mtazamo wao wanaangalia wachezaji wakubwa tu ndo kitu wanachofel kabisa ila naamin Chong kutua werder Bremen n anafanya maajabu sana

    Jibu

    Duh!!!

    Jibu

    Aende akaongeze kiwango chake.

    Jibu

    Kila la kheri Chong

    Jibu

    Noma

    Jibu

    Duuuuh hatari

    Jibu

    Hngr chong

    Jibu

    Ni wakati wa chong kuonesha uwezo wake.

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Nenda kapambanie kipaj chako

    Jibu

    Wakati ni wake

    Jibu

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 anacheza kama kiungo na alijiunga na akademi ya Man United mwaka 2016 akitokea Feyenoord, ameshindwa kuendana na mfumo wa timu na kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza, ameona bora asepe mahali atakapo pewa nafasi kubwa ya kucheza.

    Jibu

    Kila raheri nenda okaongeze juhudi#meridianbett

    Jibu

    Ni hatua nzuri

    Jibu

    Sehemu sahii chong aliyo chagua ili kuimarisha kiwango chake

    Jibu

    Jamaa yupo vizuri

    Jibu

    Yupo vzr dogo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.