Romelu Lukaku amepata “furaha yake” tena akiwa katika klabu ya Inter Milan na hatojutia kuondoka Manchester United.
Huo ulikuwa ni mtizamo wa Mchezaji wa zamani wa United Robin van Persie, ambaye anaamini Lukaku amekuwa na moto tangu atue klabu ya Inter baada ya kupoteza mwelekeo Old Trafford.
Mbeligiji huyo anaweza kupata nafasi ya kuwaonesha United wapi walipokosea kama Inter na United wakifanikiwa kusonga hatua ya nusu fainali ya Europa League.
Timu ya Inter itawakabili Shakhtar Donetsk wakati United watakua na kibarua kigumu dhidi ya Sevilla, na Van Persie amevutiwa na timu ya Conte ikiwa imeimarishwa safu ya ushambuliaji na Lukaku.

“Anaonekana anafuraha, Conte anawachezesha wachezaji vizuri sana- Stefan De Vrij aliniambia kwamba pre season ni ngumu,” mchezaji huyo wa zamani wa Uholanzi aliiambia Stats Perform News.
“Unaweza ukaona wanacheza kitimu.
“Alifanya chaguo sahihi; anajiamini kama zamani sasa, amekuwa na wakati mzuri,anaonekana ni mwenye furaha.
Lukaku alitumia misimu miwili akiwa na Man United baada ya kujiunga akitokea klabu ya Everton mwaka 2017 na kufunga magoli 28 kwenye michezo 66.
Amefunga mara 23 katika michezo 36 msimu huu kwenye ligi ya Serie A na kumaliza nafasi ya pili alama moja nyuma ya mabingwa wa ligi hiyo Juventus.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Furahav
Lukaku tangu aende inter anafanya vizuri sana.
Devotha
Lukaku anajua alifanya maamuzi sahihi kuondoka Manchester united
Issa
Lukaku amewika sana toka atue inter kiwango chake kimekuwa juu sana
Hope mwaikuka
Ni kwel kabsaa
Shafii
Lukaku amekua na wakati mzuri tokea atue inter.
Fatuma kasomo
Safi sana
Povel
Lukaku anafurah na maisha ya inter milan
Leonard
Inter kumempenda
marry
nice
Sabrina
Sio mbaya ametulia alafu anafanya vzur
Latifa juma mohamed
Alifanya chaguo sahihi; anajiamini kama zamani sasa, amekuwa na wakati mzuri,anaonekana ni mwenye furaha Safi Sana lukaku.
David Pere
Lukaku amekua na wakati mzuri tokea atue inter. Na hii ligi anaiweza
farida ahmadi
Yuko sahihi kabisah
warda
Kapotea huyu#Meridianbettz
Sadick
Alianza vizuri sana lakini mechi za mwisho hakufanya vizuri sana#meridianbettz
Mwajumah
Lukaku tangu aende inter anafanya vizuri sana#Meridianbettz
Ester jackson
Kweli kabisa ila wanatakiwa kucheza kwa umakani mana hata wapi zani wao pia wako vizuri
Adelta
Good@meridianbettz
Ernest
Lukaku anaenjoy life la Inter, first eleven choice, playing enough time, what else in needs now?
Neema
Lukakuu bado yuko motoo
Tatu
Hiyo ilikuwa ndoto ya lukaku kuchezea inter
magdalena
lukaku bado yupo vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Namuwerewa Lukaku tangu haende Inter Mambo yapo Moto kwake anapambania ushindi kwahudi zake zote anajituma sana
Mwanahamisi
Kukaku Yuko sahihi#meridianbet
aisha
Lukaku piga kazi broo acha na brabra za mtandaoni
Fatina mfingi
Lukaku Bado yupo imara kikubwa aendelea kukaza buti tyu
felister
Lukaku tangu aende inter amekua anafanya vizuri sana sana
Shan
Lukaku amekua na wakati mzuri tangu ajiunge na inter.
Khadija
Lukaku bado yupo moto
Gabriel
Ukwel kwamba mfumo wa ole gunar kwa upande wa lukaku ajaulewa kabisa na ndo maana alikuwa anacheza chin ya kiwango ila tokea aingie inter yuko vzur sana
Salma ngende
Sina uwakika na huko aliko
Fatuma kasomo
Lukaku yupo vizuri tokea aende inter
Janeflora malisa
Lukak ni 🔥🔥🔥
Johnmary joel
Nimchezaji mzuri sana endelea kuongea juhudi zaidi#metidianbbett
Caroline
Lukaku yupo sehemu salama
Zeiyana
Me naona lukaku alienda inter Milan ili kuonesha kiwango chake alichokua nacho
Saupha mohamed
Lukaku yupo vizuri
Samiah
Gud