De Bruyne Mchezaji Bora wa Msimu Premier League.

Nyota wa Manchester City Kevin De Bruyne amepokea tuzo ya mchezaji bora wa msimu 2019-20 katika Premier League baada ya kupigiwa kura na mashabiki wa ligi hiyo.

De Bruyne aliibuka kidedea kwenye kinyang’anyirro hicho na kuwashinda wachezaji watatu wa Liverpool ambao ni Trent Alexander-Arnold, Jordan Henderson na Sadio Mane pamoja na Danny Ings, Nick Pope na Jamie Vardy.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alikuwa katika ubora msimu huu na kuisadia City kumaliza katika nafasi ya pili nyuma ya Liverpool mabingwa wapya wa Premier League, alifunga goli 23 na kutoa asisti 20 kwa msimu mmoja na kufikia rekodi ya mtaalamu Thierry Henry mwaka 2002-03.

Ushindi wa tuzo hiyo kwa De Bruyne umewazuia Liverpool kubeba tuzo zote baada ya Jurgen Klopp kuibuka kocha bora wa msimu na Alexander Arnold kushinda tuzo ya mchezaji bora kwa vijana.

Kiungo huyo anakuwa ni Mbeligiji wa tatu kushinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu baada ya mchezaji wa zamani wa Man City Vicent Kompany kufanya hicvyo mwaka 2011-2012 na Eden Hazard mwaka 2014-15.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

42 Komentara

    Hii haipingwi wala haikataliwi

    Jibu

    Hongera zake anajua sana bruyne Ni haki yake kupata iyo tunzo#Meridianbettz

    Jibu

    De bruyne ni mchezaji mzuri duniani ni bingwa wa assist,mashuti na faulo kikubwa kinacho Fanya kiwango chake kisiwe na muendelezo ni majeruhi ya Mara kwa Mara yanayo mkabili.

    Jibu

    Hongera de bruyne unastahili ulichokipata

    Jibu

    Hongera De Bruyne

    Jibu

    Pongezi zake Anajua Sana De Bruyne lazima awe kwenye nafasi Nzuri kwajudi zake

    Jibu

    Pongezi kwa bruyne kupata alicho kisumbukia

    Jibu

    Hongera sana kwake

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Hongera de bruyne

    Jibu

    ni haki yake bryune kupata hiyo tuzo

    Jibu

    Hongera Sana kwake
    @merdianbettz

    Jibu

    Hongera sana broo kwa kuwa mfungaji bora na pia ikumbukwe watu kama nyie ili kufanikisha ndoto zenu kama hizo huwa mnapitia changamoto nyingi sana kwenye maisha yenu hivyo basi sharap kwako umetisha sana

    Jibu

    Maoni:big up sana

    Jibu

    KDB ndio kiungo bora duniani kwa sasa,anastahili tuzo#meridianbettz

    Jibu

    De brunye ni mchezaji mahiri sana

    Jibu

    Hongera

    Jibu

    Vzr

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Congrats to him

    Jibu

    Congrat KVD🙏🙏🙏

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    honger kwake

    Jibu

    Ni hakiyake anafanya vizur

    Jibu

    Big up de bruyne , ni haki yko

    Jibu

    Kiungo huyo anakuwa ni Mbeligiji wa tatu kushinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu baada ya mchezaji wa zamani wa Man City Vicent Kompany kufanya hicvyo mwaka 2011-2012 na Eden Hazard mwaka 2014-15.

    Jibu

    Pongezi Sana de bruyne

    Jibu

    Hongera yake#Meridianbettz

    Jibu

    Hongera Sana kwake
    @merdianbettz

    Jibu

    Hongera Sana kwake @meridianbettz

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    tuzo imeenda mahali pake

    Jibu

    Alistahili kwa kiwango kikubwa alichokionesha ndani ya club yake.

    Jibu

    pongezi kwake

    Jibu

    Hongera sana de bruyne kwel amejitahid sana na anastahil kupewa tuzo

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Hii haipingwi

    Jibu

    Anastahili hongera zake#meridianbett

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Safi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.