Kompany Astaafu Kucheza Soka na Kuwa Kocha.

Vincent Kompany amestaafu kucheza mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka 34 na ametajwa kuchukua nafasi ya kuwa kocha mkuu wa timu ya Anderlecht.

Mbeligiji huyo alikuwa kocha mchezaji mwezi Mei mwaka 2019 baada ya kuondoka Manchester City lakini ameacha majukumu

Simon Davies alichukua nafasi ya kuwa mkuu wa benchi la ufundi na kisha baadaye akawa masaidizi na Francky Vercauteren alichaguliwa kuwa msaidizi wa tatu, wakati Kompany alibakia kuwa bosi wa kawaida.

Taarifa zinadai Kompany, ambaye amekubali kusaini dili ya miaka minne na klabu hiyo alikuwa hana mahusiano mazuri na Vercauteren na klabu imethibitisha kuondoka kwa Vercauteren.

“Vincent amekuwa kocha mkuu wa RSC Anderlecht” Anderlecht waliandika kwenye ukurusa wao wa Tweeter.

“Amestaafu kucheza mpira na kuchukua mikoba kutoka kwa Franky.”

Kompany alimaliza muda wake City baada ya kuhudumu katika klabu hiyo kwa kipindi cha miaka 11 na kupata mafaniko mbalimbali.

Anderlecht walimaliza katika nafasi ya nane katika msimu 2019-20 na msimu uliisha mapema kufuatia kutokea kwa virusi vya Corona na wamefanikiwa kuchukua alama nne kwenye michezo miwili kwa mssimu huu mpya uliyoanza.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

39 Komentara

    good news

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Pongezi kwake mstafu kompany kufanya vizuri nakuelekea kwenye Ukocha inapendeza sana

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    kila la kheri katika safari yako mpya ya ukocha

    Jibu

    Kompany bado mchanga sana anatakiwa atulie ajifunze kocha sio kuendesha baiskeli kuwa ukifunza tu haraka unajua anatakiwa akasome pia akawe msaidizi kwa muda then ndo awe kocha mkubwa sio kitendo cha kustafu tu ajitangazie awe kocha

    Jibu

    Pongezi Sana company kwa kuwa kocha kila la kheri

    Jibu

    Safi kwa kompany kuichukua anderlchet jumla

    Jibu

    Kila lakheri katika safari yake mpya

    Jibu

    Huyu jamaa ana rekodi nzuri sana kwenye soka, Kila la heri kwenye Maisha yako ya ukocha

    Jibu

    Ameacha soka akiwa na miaka 34 bado anauwezo wa kuchezea timu yoyote ila tunaheshimu mawazo yake

    Jibu

    Vicent Kompany amefuata watu wa kizazi chake cha akina Lampard,Terry, Thierry,Gerrard n.k kuingia kwenye ukocha#meridianbettz

    Jibu

    maamuzi yake ya kuwa kocha yapo sahihi tunastahili kuyaheshimu

    Jibu

    Kila la kheri katika safari yake ya ukocha#Meridianbettz

    Jibu

    Habari njema hiyo

    Jibu

    Waooh vzr

    Jibu

    Kila lakheri kampany na safari yako ndefu ya ukocha.

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Gud to him

    Jibu

    Safi sana kompany uwe kocha mzuri sasa

    Jibu

    Maamuzi yake mazuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Maamuzi mazuri pumzika #meridianbett

    Jibu

    Maoni:mhh ngoja tuone uwezo wake wakufundisha

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Kompany Yuko vizuri sana

    Jibu

    Jitihada na nidhamu ya hali juu imemfikisha hapo alipo sasa ivi kwahiyo piga kazi broo

    Jibu

    Company bado sana amestaafu na mri mdogo ni vizuri hangeendelea kua hata kocha msaidizi..!kwani wachezaji wengi sana chipukizi wanapambana lakini bado hawana uwezo kama wake ni vizuri angekua kocha ili kuwainua na wengine

    Jibu

    Ni hatua nzuri

    Jibu

    Kiwango alichofikia kinafaa kuchezesha

    Jibu

    vzr

    Jibu

    Hiyo ni nzur

    Jibu

    Safi, hayo ndo maendeleo ya kimpira

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Huyu jamaa ana rekodi nzuri sana kwenye soka, Kila la heri kwenye Maisha yako ya ukocha

    Jibu

    Kwa kweli iko poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.