Pep Guardiola amejidhatiti katika klabu ya Manchester City na kurudi katika klabu aliyokuwa akiinoa zamani klabu ya Barcelona “Haiwezekani kwa sasa” hii ni kwa mujibu wa wakala wa kocha huyo Josep Maria Orbitg.
City ambao wametolewa mara tatu katika hatua ya robo fainali kwenye michuano ya Champions League wamekuwa wakihoji mustakabali wa Guardiola katika timu hiyo
Guardiola anakaribia kumaliza mkataba wake kwani huu ndiyo mwaka wa mwisho katika kandarasi yake na City wakati Barca wanatarajia kumpiga chini Setien wamekuwa kwenye mazungumzo ya kumrudisha kocha wao wa zamani Guardiola.
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola
Lakini, muwakilishi wa Guardiola Orobitg amesisitiza kuwa Guardiola mwenye umri wa miaka 49 ataendelea kuifundisha Manchester City.
“Ndiyo, Pep ataendelea kukaa Etihad kwa asilimia mia,” aliiambia Goal.
Guardiola alifanikiwa kushinda mataji 14 katika misimu minne akiwa na Barcelona lakini Orobitg aliongeza “kwa sasa haiwezekani” kurudi Barcelona.
Barcelona alipokea kipigo kizito cha 8-2 kutoka kwa wababe wa Ujerumani Bayern Munich wiki iliyopita katika hatua ya robo fainali kwenye Champions League nchini Ureno.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa meridianbet
felister
kwanini ishindikane…?
Latifa juma mohamed
Habar njema
lombo
maamuz n yak
Genia Sikaluzwe
Ni yeye atakavyo amuwa
Lydia Emmanuel Magoti
Ajapata bonge nono Hilo lakini angepata lazima Guardiola Ange timba Barcelona
Shafii
Ni jambo la makubaliano Kati ya barca na guardiola mwenyewe.
Janeflora malisa
Nice
Sadick
Pep Guardiola ni Kocha mshindi lakini sio dawa pekee ya Barcelona kurudi ktk ubora wake yanahitajika mabadiliko mengi nadani ya Barcelona ikiwa ni pamoja na kusajiri wachezaji wazuri#meridianbettz
Furahav
Baki tu hapo na wewe ukienda barca utakula lungu 9 bure.
Povel
Hakun linashindikana kikubwa makubalianao tu hapo
farida ahmadi
Maamuzi yake binafsi mwenyewe gardiola
Hope mwaikuka
Wakikubaliana itawezekana tu
Devotha
Hao Barcelona watafute kocha mwingine guardiola hawawezi kumpata
Sabrina
Barcelona wapambane na hali yao watuachee na guardiola wetu
JULIANA
Guardiola bora ubaki zako ukouko Man City,
Barcelona akuna damu changa
Dorophina
Hayo ni makubaliano yao sidhani kama Barca wakiamua kumtaka kama atakataa
Issa
Guadiola kurudi inawezekana tu kwa hilo na wengi wa wachezaj wanamkubal
Gabriel
Guardiola yuko vzur sana aliisaidi sana Barcelona matumain akirud lazma ainoe vzur
Johnmary joel
Maamuzi anyone yeye kubaki au kuondoka#meridiabett
rama
Maoni:man city ngumu kuuacha kocha huyo aludi barcelona
Nasra
Maamuz ni kitu cha muhimu hapo
Flomena
Guardiola anakaribia kumaliza mkataba wake kwani huu ndiyo mwaka wa mwisho katika kandarasi yake na City wakati Barca wanatarajia kumpiga chini Setien wamekuwa kwenye mazungumzo ya kumrudisha kocha wao wa zamani Guardiola.
Ester jackson
Guardiola ni kocha mzuri sana na ukizingatia kuwa anapenda ushindani san a Wa mafanikio nafikiri kama wangemsajili ingeleta hamasa kubwa
Ernest
Mpira una sura nyingi sana sikuhizi mfano akipigwa chini na City moja kwa moja huenda Barca ndo ikawa chaguo lake namba moja kuifundisha
aisha
Barcelona wangempata guardiola ingependeza zaidi maana ni kocha mzuri ambaye anapenda mafanikio
Zeiyana
Tumeiyona kazi yake guardiola ni kocha mwenye uwezo wake kwa mda alio hutumia pale clabuni man city kuna vingi sana hamefanya ila kwa huwamuzi wake yeye kundwa Barcelona ili kurudisha hazi ile ya zamani me naona hangeanza na mechi la ufundi kwanza..!
Caroline
Kila kitu kinawezekana chini ya jua
Tatu
Ni yeye atavyoamua abaki city au aende Barcelona
Salma ngende
Jaman angerud tu
Saupha mohamed
Good news
Tahiya
Arud tyuu kama wanamuhitaji
Christa
Aende tu Barca
Theonestina
Ajaamua uyo.akiamua kurudi anarudi tu
Samiah
Aende Barca tu
David Pere
Pep Guardiola ni Kocha mshindi lakini sio dawa pekee ya Barcelona kurudi ktk ubora wake yanahitajika mabadiliko mengi nadani ya Barcelona ikiwa ni pamoja na kusajiri wachezaji wazur
warda
Afanye maamuzi tu