Ward-Prowse Asaini Mkataba Mpya na Southampton.

Nahodha wa Southampton Ward-Prowse amesaini dili mpya ya miaka mitano na timu hiyo ya Premier League.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 alijiunga na klabu hiyo akiwa na miaka nane na tayari amekwisha tumia misimu nane akiwa ni sehemu ya kikosi cha kwanza cha Southampton.

Msimu wa Premier League 2019-20 alicheza dakika zote kila mchezo na alichukua nafasi ya kuwa nahodha kutoka kwa Pierre-Emile Hojbjerg aliyetimkia Tottenham mwishoni mwa msimu.

Southampton imethibitisha kufanyika kwa makubaliano na Prowse kupitia tovuti rasmi ya klabu siku ya Jumatatu kwamba wameingia makubaliano na mchezaji huyo wa Uingereza kuendelea kuwa Southampton mpaka mwaka 2025 .

“Nadhani hii ni furaha kubwa kwamba nimekuwa mchezaji wa Southampton kwa miaka michache, sio kwa sababu ni nahodha tu bali ni vile mambo yanavyo endeshwa kuanzia kwenye timu mpaka klabu,” alisema

“Sisi ni sehemu ya timu inayoendelea kila wakati, kwenye maeneo tofauti tofauti, na kwa wachezaji tumekuwa tukifurahishwa, nadhani tumetokea chini msimu uliyopita lakini tumejitahidi mpaka tumemaliza msimu tulikuwa nafsi nzuri kidogo, hii ni kwasababu tunahitaji kuwa timu bora.

“Lakini nadhani kila mtu atakuwa na msisimko wa kurudi kwenye ligi na kusahihisha tulipo kosea msimu uliyopita, lakini pia ni furaha kuwa na mwalimu ambaye amekuwa na matokeo chanya ndani ya klabu.”


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

41 Komentara

    Ward anaumuhimu sana katika timu yake ya southampton ndio maana wanaendelea kumuongezea mkataba

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Maoni:vizuri sana

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Southmpton Bado wana umuhimu nae ward prowse na ndio maana wamemuongezea mkataba ni vizuri sana clabu kama clabu kuijua samani ya mchezaji wao sio kama Chelsea kwa William wamezingua sana

    Jibu

    Nafikiri nidhamu na busara ya hali ya juu ndio imemfanya ward-prowse kuendelea na timu yake hongera broo

    Jibu

    Southampton imethibitisha kufanyika kwa makubaliano na Prowse kupitia tovuti rasmi ya klabu siku ya Jumatatu kwamba wameingia makubaliano na mchezaji huyo wa Uingereza kuendelea kuwa Southampton mpaka mwaka 2025 .

    Jibu

    southampton imeona mchango wake mkubwa katika kikosi ndio maana imeamua kumpa tena mkataba mwingine ili aendelee kuonesha jitihada zake katika timu

    Jibu

    Ward-Prowse umepata timu zuri sana no muda Wa kupambana kama lukaku

    Jibu

    Southampton wametambua mchango wa Ward-Prowse maana alikuwa na mchango mkubwa sana msimu wa 2019/2020

    Jibu

    Kila LA kheri ward utaenda kufanya maajabu huko

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Ward -Prowse amepata timu nzuri Sana kwakuitumikia kipasavyo pambana jembe upo sehemu salama

    Jibu

    hongera ward kwa kusaini mkataba wa miaka mitano

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Ni habari njema.

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Safi Sana

    Jibu

    Ward-Prowse ameonyesha uwezo mkubwa sana mpk anapata nafas ya kusainishwa upya n habar njema sana

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Safiii sana

    Jibu

    Hongera yake namtakia kila la kheri

    Jibu

    Inapendeza sana

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Safi kuongeza kandarasi

    Jibu

    Kila la kheri ward prowse

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Hongera Sana.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Ward-Prowse ameonyesha uwezo mkubwa sana mpk anapata nafas ya kusainishwa upya n habar njema sana

    Jibu

    Hongera sana Southampton kukamilisha usajili

    Jibu

    Nahodha Ward-Prowse anasitahili kupata mkataba mpya#meridianbettz

    Jibu

    Hongera yake sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.