Spurs Karibu Kumchukua Gareth Bale kwa Mkopo Mwaka 1

Safari ya Gareth Bale kurejea Tottenham imeiva baada ya Spurs na Real Madrid kufikia hatua kubwa ya makubaliano.

Awali Spurs waliripotiwa kuwa walikuwa wanataka kumtumia Dele Alli katika kukamilisha uhamisho wa nyota huyu, lakini Real Madrid hawakuwa tayari. Kwa maana hiyo, Tottenham walikuwa na chaguo la kukamilisha uhamisho wa mkopo.

Stori inayobamba zaidi leo ni kuwa nyota Gareth Bale amekubali dili la mkopo la mwaka mmoja kurejea Spurs.

Gareth Bale Tottenham
Bale aliondoka Spurs miaka saba iliyopita kwa rekodi ya £86m

Kwa mujibu wa Skysporst, Bale anasubiria ruhusa ya Real Madrid kuweza kukamilisha dili lake na kutua London. Kukamilika kwa dili hili kutamrejesha kwenye klabu aliyotemana nayo miaka saba iliyopita kwa dau la kuvunja rekodi la £86m.

Tarifa zinasema kuwa wansheria wa Hispania na Uingereza wanashirikiana kuandika mkataba. Spurs wapo tayari kumlipa mshahara wa £20m na kulipa ada ya uhamisho wa mkopo.

ESPN wanaripoti kuwa Jose Mourinho anajiandaa kumpokea Bale, japokuwa ametahadharisha kuwa atatakiwa kupambana ili aweze kuyafikia matarajio ya klabu pale Spurs.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

37 Komentara

    Bale bado anagundu ukiangalia na hali ya uchumi wa sasa katika Vilabu anashindwa kupata deal la kusajiliwa moja kwa moja naona swala la mkopo limeanza kuibuka sasa.

    Jibu

    Bale ameanza vibaya @meridianibettz

    Jibu

    Mimi nafikiri kuwa amepata mwanya Wa kiondoka real Madrid kama atafanya viziri katika timu hiyo na kupata mkataba Wa kudumu utakuja baada ya kuonyesha uwezo wake kufidia kushuka kwake

    Jibu

    dili nono

    Jibu

    Wamchukue tu ili azidi kuleta mabadiliko

    Jibu

    Spurs wamepata mchezaji mzuri akaonyeshe kipaji chake huenda wakamfikilia kumsajili moja kwa moja

    Jibu

    Hata kwa mkopo sio mbay maan atazidi kuonyesha maajab mwisho wa cku watamsajili mazima

    Jibu

    Bora Bale aelekee Tottenham labda huko nyota yake itangaa

    Jibu

    Bale Yuko vizuri wamsajili tu

    Jibu

    Dili safi sana

    Jibu

    Uwezo wake bale unashuka sasa

    Jibu

    Bale mbona una bahati mbaya ivo jmn

    Jibu

    Spurs wakamilishe ili dili mapema kwani Bale atawasaidia sana kwenye mbio za igi kuu Uingereza na ukiangalia nafasi yao ya ushambuliaji ni butu kwa sasa

    Jibu

    Spurs wamepata jembe wakamilishe tuuu wachukue vyao Bale Anajua

    Jibu

    Welcome home bale

    Jibu

    Bale yupo vizuri sana naona hiyo ndio itakua tiketi yake ya kuama Real Madrid

    Jibu

    Wamchukue tu ili azidi kuleta mabadiliko#Meridianbettz

    Jibu

    Bale asibezwe ni mahiri pia!!

    Jibu

    Itakuwa poa

    Jibu

    Itakuwa bola sana#meridianbettz

    Jibu

    Bale atakuwa amerud nyumban maana n muda tokea aondoke

    Jibu

    Bale aende tu uko spurs maana akienderea hapo madrid atawekwa bench sijui anamkosi gani

    Jibu

    Bale anamkosi gani daah

    Jibu

    Bale mbona yuko vizuri jamani

    Jibu

    Bonge ya dilii

    Jibu

    Krb sana

    Jibu

    Epl tumemis Balle back hom

    Jibu

    Itakuwa vizur

    Jibu

    Bale bado anagundu ukiangalia na hali ya uchumi wa sasa katika Vilabu anashindwa kupata deal la kusajiliwa moja kwa moja naona swala la mkopo limeanza kuibuka sasa.

    Jibu

    Welcome BALE in spurs

    Jibu

    Mambo ya kimichezo hayoo!!!

    Jibu

    bale alikuwa anatafuta mbinu za kuondoka madrid muda mrefu naona sasa kapata mwanya mzuri

    Jibu

    Bake sidhani kama real madrid watakubali dili hilo

    Jibu

    Fresh tu

    Jibu

    Hapo.ndo pako hapo ndio ulipopata thaman bale nahis spurs imemis mambo yako

    Jibu

    Kila la kheir Balle

    Jibu

    Bale yuko vizuri.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.