Paris Saint-Germain itakuwa bila nyota Angel Di Maria katika michezo minne baada ya mchezaji huyo kuadhibiwa kwa kumtemea mate beki wa Marseille, Alvaro.
Di Maria amepata hukumu hiyo baada ya uchunguzi kufanyika baada ya fujo kutokea katika mchezo wa Le Classique ambao PSG ilifungwa 1-0 na timu ya Marseille Septemba 13.
Neymar,alimshutumu Alvaro kwa kumfanyia kitendo cha kibaguzi wa rangi, kitu ambacho mchezaji huyo wa Marseille alikataa kukifanya, Leandro Paredes na Lyvin Kurzawa walitolewa nje kwa kadi nyekundu,wakati Dario Benedetto na Jordan Amavi nao pia walioneshwa kadi nyekundu katika dimba la Parc des Princes.
Wakati Neymar akiendelea kutumikia adhabu yake ya kukosa mechi mbili, Di Maria atakosa michezo minne ya Ligue .

Lakini, Thomas Tuchel atakuwa na uwezo wa kumuita Muargentina huyo kwa mchezo na Reims siku ya Jumapili, kwani adhabu yake itaanza kutekelezwa mwezi Septemba 29.
Di Maria hatokuwepo kwa michezo ya PSG dhidi ya Angers,Nimes, Dijon na Nantes.
Baada ya kupoteza michezo miwili mfululizo ya ufunguzi,PSG wameshinda michezo miwili ya mwisho tangu ligi ianze, tumeshuhudia wakiicharaza Metz na Nice na Kylian Mbappe akifunga goli lake la kwanza kwa msimu huu wa Ligue 1 baada ya kutoka Karantini kufuatia kuwa na virusi vya Corona.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


magdalena
afadhali alivyofungiwa ili iwe fundisho kwa wengine maana izo ni dalili za dharau
Mwajumah
Bara ata alivyofungiwa mm simkubali ata kidogo uyu jmaa ingewezekana angefungiwa mwaka mzima kabisa
Lydia Emmanuel Magoti
Duu iyo kali tena
Ernest
Hili balaa zito sana kwa PSG
Nasra
PSG kumekucha
Rehema
Jamani hii kali
Nasra
PSG kaz ipo
Mwanahamisi
Hii sasa kali
Sauda
Sheria ifuate mkondo wake
Sadick
Di maria amefanya kitendo sio cha kiwana michezo, analistahili adhabu zaidi#meridianbettz
aisha
Pole sana di maria lakini ndio ujifunze tabia njema mpira sio vita
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Samira
Ni sawa kabusa ajifunze nidhamu
Tatu
Huo ni utovu wa nizamu
Dorophina
Staa mkubwa kama huyo kukosa nidhamu kwenye mchezo ni dharau tosha wangemuongezea adhabu tu
Elika
Ni bora na iwe fundisho kwa wengine
Venerose
Adhabu inatakiwa ili iwe fundisho kwa wengine
Fatina
Sheria kali ichukuliwe ili iwe fundisho kwa wengine
Khadija
Sheria itate mkondo wake
Adelta
Ni bora ili iwe fundisho kwa wengine
Rehema Dickson
Mmmh hapa kazi ipo
Caroline
Dah alifanya vibaya mno.
Angelina
Adhabu ndogo hiyo wamuongezee
Saupha mohamed
Nidham mbovu sawasawa
Tumaini kasalile
Wamfungie tu
Neema
Ni fundisho kwa wengine
Fatuma kasomo
Nomaa
Johnmary joel
Amefanya vibaya siyo Tabia nzuri#meridianbett
Tahiya
Noma sana
Amiri Kayera
Kitendo sio cha kiungwana mchezon
Theonestina
Duuuh
Sabrina
Huo ni utovu wa nidhamu ni bora alivyofungiwa
Gabriel
Hatar sana
Samiah
Nidhamu popote inahitajika
Zeiyana
PSG wameanza ligi vibaya subiri tuangalie mwisho wake utakuaje
Rose kapinga
Hii mbaya sana,anastahili kuadhibiwa ameonyesha dharau kubwa sana!!
Christa
Wangemfungi asicheze kabisa. Tabia chafu
Issa
Adhabu kali zinatakiw zichukuliwe kwa wanaofanya vitrndo kama hivi ili matukio kama haya yasijirudie
Hopemwaikuka
Ndo akome
felister
balaa zito kwa psg
David Pere
Di maria amefanya kitendo sio cha kiwana michezo, analistahili adhabu za