Breaking News:Mendy Kutoka Rennes Asaini Chelsea.

Klabu ya Chelsea imemsaini golikipa wa Senegal Edouard Mendy akitokea klabu ya Ligue 1 Rennes kwa kandarasi ya miaka 5, klabu hiyo Premier League imethibitisha siku ya Alhamisi.

Klabu hiyo iliyotumia kiasi kikubwa cha fedha katika dirisha la usajili msimu huu, imeripotiwa kutumia zaidi ya £20m kumleta darajani Mendy mwenye umri wa miaka 28.

Ujio wa Mendy London utaondoa shaka kwa Lampard ambaye amekuwa haridhishwi na kiwango cha golikipa Kepa Arrizabalaga, ambaye alifanya kosa lililoigharimu Chelsea mechi dhidi ya mabingwa watetezi wa Premier League Liverpool mchezo ambao Liverpool ilishinda kwa 2-0 wikendi iliyopita.

Mendy aliisaidia timu ya Rennes kufuzu kucheza ligi ya mabingwa Ulaya kwa mara ya kwanza msimu uliyopita na kwa sasa amekuwa mchezaji namba nane aliye sajiliwa na Frank Lampard katika dirisha hili la uhamisho baada ya kuwasajili Hakim Ziyech, Timo Werner, Thiago Silva, Kai Harvetz, Malang Saar, Ben Chilwell, Xavier Mbuyamba, na Edouard Mendy.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

43 Komentara

    kweli chelsea wameamua sana msimu huu goalkeeper mzuri sana uyu

    Jibu

    Kikosi kinazid imalika Safi Chelsea!

    Jibu

    Chelsea hawataki masihala kabisa msimu huu

    Jibu

    Baada ya Mendy kusaini nafasi ya Kepa ipo hatarini#meridianbettz

    Jibu

    Chelsea wameamua kijipanga msimu huu

    Jibu

    Chelsea wako vizuri sana

    Jibu

    Mendi anafaa sana.

    Jibu

    Chelsea wajipange msimu huu

    Jibu

    Mambo yatakua makubwa sana msimu huu

    Jibu

    Chelsea hawataki mchezo

    Jibu

    Alifanya vibaya sana

    Jibu

    ## Mendy karibu Chelsea.naona Chelsea wanaimarisha kikundi chao

    Jibu

    Chelsea nawapa hongera sana kwa hilo

    Jibu

    Chelsea msimu huu nomaa

    Jibu

    Mendy yuko vizur chaguo nzur kwa Chelsea

    Jibu

    Chelsea wako vizuri

    Jibu

    Chelsea noma sana

    Jibu

    Chelsea wamepata jembe maana mendy yuko vizuri sana

    Jibu

    Chelsea hawataki kabisa masihala msimu huu

    Jibu

    Chelsea tripu hii wamejipanga

    Jibu

    Msimu huu Chelsea wakishindwa tena sijui watawaambia nini mashabiki maana wamejipanga kila sekta

    Jibu

    Pongezi kwa Chelsea

    Jibu

    Chelsea safari hii wapo moto

    Jibu

    Msimu huu Chelsea wako vizuri

    Jibu

    Chelsea awataki mchezo

    Jibu

    Kepa atakalia kuti kavu sasa

    Jibu

    Chelsea noma

    Jibu

    Nomaa

    Jibu

    Usajir mzur

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Ni golikipa mzuri

    Jibu

    Chelsea wapo vizuri

    Jibu

    Chelsea wanaimarisha kikosi chao

    Jibu

    Chelsea wanaimarisha kikosi

    Jibu

    Lampard hataki mchezo kwa kweli ila ki ukweli tu Chelsea hawana uwezo wa kuwazuhia Liverpool wakiwa uwanjani

    Jibu

    Chelsea kikosi chake kitakua imara sana kwa usajili huu

    Jibu

    Swala la mlinda mlango limekuwa ni tatizo kubwa chelsea kepa imeonekan ajafit pamoja na kusajiliw kwa pesa nyingi

    Jibu

    Chelsea wako na jambo lao

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Naam naona Chelsea kumenego

    Jibu

    usajili mzuri

    Jibu

    Msimu huu Chelsea wakishindwa tena sijui watawaambia nini mashabiki maana wamejipanga kila sekta

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.