Luis Suarez amesema kwamba anajivunia baada ya Lionel Messi kumtetea kufuatia kuondoka kwake Barcelona kwenda Atletico Madrid.
Suarez, 33 amejiunga na klabu ya Atletico kwa dau la Euro milioni sita (€6m) wiki hii baada ya kutokuwa sehemu ya mipango ya kocha mpya wa Barcelona Ronlad Koeman.
Swahiba wake wa karibu na nyota wa Barcelona Lionel Messi aliishambulia klabu hiyo ya Catalan siku ya Ijumaa kwa kusema “Suarez ni kama amefukuzwa”.

Suarez aliyeshinda mataji 13 akiwa na Barcelona, alisema anajivunia kuacha alama nzuri ndani ya Barca.
“Leo ana nijua vyema na ndiyo chanzo cha mimi kuacha alama chanya ndani ya Barca.
“Kwa sasa nimejiunga na Atletico ni hamasa kubwa.”
Suarez alifunga magoli 21 katika michezo 36 msimu uliyopita,lakini kocha mpya wa Barca Koeman hana mipango na Muuruguay huyo katika kuisuka Barca mpya.
Mshambuliaji huyo alisema kujiunga na klabu nyingine kubwa Spain ni jambo kubwa kwake.
Atletico Madrid wataanza mbio za kuwania LaLiga msimu 2020-21 wakiwa nyumbani Wanda Metropolitan kwa kuwaalika Granada siku ya Jumapili.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


felister
hakika Messi yupo sahihi kuondoka kwa suarez ni kama kufukuzwa
Nasra
Timu imekamilika sana
Zeiyana
Kila la kheri Suarez maisha popote
Caroline
Ni kweli Suarez ana mchango mkubwa sana Barcelona
Sadick
Luis Suarez alikuwa na mafanikio makubwa alipokuwa Barcelona,alipaswa kuagwa kwa heshima#meridianbettz
Fatina mfingi
Kambi popote kikubwa maslai
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli Wanajuana vizuru ajakosea kuongea Luiz Suarez
Adelta
Maisha popote Kila la kheri
Antony Luseno
Kizuri zaidi timu aliyojiunga nayo pia inafanya vyema katika la liga
Tatu
Suarez ana mchango mkubwa pale barcelona
aisha
Kila la kheri popote kambi
Shafii
Suarez yuko sahihi walikua na chemistry nzuri Sana wakicheza na messi
Saupha mohamed
Kambi popote
farida ahmadi
Yuko sahihi kabisah
Khadija
Kambi popote
Mwajumah
Kila la kheri suarez kwan kambi popote
Marry Mushi
all the best
Agness
Popote kambi chamsingi masilah
Venerose
Maisha popote kafanye kazi tu uko uendako
Shani
Ameifanyia mazur barca na kiwango si kama hamna sema hayupo kwenye rada za koeman
Hopemwaikuka
Kafanye kaz Ila kung’ata wenzio usirudie tena
Elika
Kila la heri
Hidaya
Kila la kheri mwamba
Amiri Kayera
Kwer alitakiw aondok km mfalme hawakumfanyia fear
Gabriel
Suarez ana mchango mkubwa sana Barcelona
lombo
saf
Rehema
Kila la kheri
Ernest
Legend lives everywhere, WISHING HIM ALL THE bEST
Issa
Suarez ana balaa kweny kumi na nane
Samiah
Kila lakheri Suarez
Latifa juma mohamed
Luis Suarez alikuwa na mafanikio makubwa alipokuwa Barcelona,kila la kheri kambi popote.
David Pere
Kwa sasa nimejiunga na Atletico ni hamasa kubwa.”
Rose kapinga
Sio mbaya huko ni kumpiga teke chura!!!
Sabrina
Piga kazi suarez
magdalena
maajabu aliokuwa anayaonesha barcelona akayaoneshe na uko alikokwenda
Dorophina
Barca wanapoteza wachezaji wazuri sana
Povel
Kila la kheri suarez ila wavu bado unakudai magoli yako