Kylian Mbappe ni mfano wa washindi wa baadaye wa tuzo ya Ballon d’Or, hii ni kwa mujibu wa mchezaji wa zamani wa Chelsea Nicolas Anelka.
Akiwa na umri wa miaka 21 pekee mshambuliaji wa Paris Sant-Germain tayari ana mkusanyiko wa mataji mengi alishinda kombe la Dunia akiwa na timu ya Ufaransa wakati pia alifanikiwa kufika fainali ya Champions League akiwa PSG, bila kusahau ametwaa mataji nane ya ndani ya Ufaransa.
Lakini, Lionel Messi na Christiano Ronaldo wamefurahia utawala wao wa kuwa wachezaji wa hadhi ya juu ulimwenguni na kubeba tuzo hiyo miaka mingi heshima hiyo haipo mbali sana na Mbappe.
Lakini mtaifa mwenzake Anelka, ambaye katika soka lake tulimshuhudia akicheza katika mataifa kama England,Spain, France, Italy na Turkey amesema ni jambo la muda tu.

“Kuna watu wengi ambao wanajulikana na wanazingatiwa kama vile Messi na Christiano Ronaldo lakini kwangu mimi Mbappe ambaye ni taswira halisi ya mfano wa mshambuliaji mwenye viwango vyote vinavyo hitajika kuwa mshindi ajaye wa tuzo ya Ballon d’Or,” aliiambia RMC Sport.
“Ana kasi sana, mtu makini, mwenye ufundi, ana viwango vya kufanya mambo makubwa.Amekuwa akidhihirisha hili kila baada ya muda na anaonesha hilo katika kila mchezo.
“Neymar yupo imara pia yeye pia yupo imara.
Mbappe alihusika katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Nice baada ya kurejea dimbani baada ya kumaliza siku za kujitizamia kufuatia kukutwa na maambukizi ya Corona.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Rehema
Bonge la makala
Theonestina
Habari njema
Issa
Mbape ni streika mzuri sana ila aache utoto afanye kazi yake kama strrika
Sabrina
Mbappe yuko vizuri
aisha
Mbappe yuko vizuri sana sema sasa aache anawenge sana
Hopemwaikuka
Mbape namkubali kinyama
Sauda
Mbappe ni mfano wa kuigwa
Amiri Kayera
Ameshinda vitu vingi San kweny career yake ya soka
Mariam mtandama
Habari njema
Latifa juma mohamed
Makala bomba
Adelta
Mbappe Yuko Vizuri 👍
Saupha mohamed
Mbappe yupo vizuri
Fatuma kasomo
Habari njm
Theckla
Mbappe ni mcheji ambaye anajua nn anafanya awapo uwanjani
Khadija
Asante kwa nakala
Janeflora malisa
Vzr sana
Elika
Mfano wa kuigwa sana mbappe
Povel
Mbappe maestro anastail PFA
magdalena
mbappe yuko makini sana na anajua sana
Tatu
Mbappe anastahili hyo tuzo
Mwajumah
Mbappe yupo vizuri
Ernest
Kinachomnyima Tuzo nyingi Mbappe ni kuwa katika Kipindi ambacho kina Manguli wengi kwenye Soka, Huenda wakati hawa jamaa wanapotea kwenye soka na Mbapper atakuwa ameshachoka hivyo kukosa Sifa ambazo alistahili kupata/kupewa
Fatina mfigi
Mbappe namkubali sana
Angelina
Yuko sahihi
Lydia Emmanuel Magoti
Namuerewa mzee wakulisaka kabumbu mbappe yupo vizuri anajua
Zeiyana
Kwa umri aliokua na mbappe hamejitaidi sana amekua na ndoto kubwa ila asikate tamaa tu kila kitu kinawezekana
Dorophina
Mbappe yupo vizuri sana
Salma ngende
Habari njema
Neema
Mbappe yuko vzr sana
Hidaya
Yupo vizuri
Shani
Akiacha utoto ni mchezaji mzur San uwanjan
Gabriel
Mbappe yuko vizuri
Samiah
Yupo vzr mbappe
Faraja molell
Namkubali sana mbape
felister
anastahili
David Pere
Mbappe alihusika katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Nice baada ya kurejea dimbani baada ya kumaliza siku za kujitizamia kufuatia kukutwa na maambukizi ya Corona.