Fernandes: Hatukujua Kama Wan-Bissaka Ange Shuti.

Bruno Fernandes amesema kwamba mchezaji wa Manchester United Aaron Wan-Bissaka aliwashtua baada ya kufunga kwa shuti kali alililopiga kwenye mchezo dhidi ya Newcastle United, amesema: “Hatukujua kama ange piga shuti pale!”

Beki huyo alicheza mechi yake ya 50 kwa Manchester United na kufanikiwa kufunga goli lake la kwanza katika klabu na kuibuka na ushindi wa 4-1 siku ya Jumamosi katika dimba la St James’ Park.

Fernandes: Hatukujua Kama Wan-Bissaka Ange Shuti.
Beki, Aaron Wan-Bissaka

Fernandez ilikuwa afunge goli la mapema baada ya kupiga penati ambayo mlinda lango wa Newcastle aliizuia na hii ilikuwa penati namba 11 kwa mchezaji huyo tangu ajiunge na United katika mechi hiyo Harry Maguire aliokoa mpira ambao ulikuwa wa kujifunga kutoka kwa Luke Shaw.

Wan-Bissaka aliweka kamba ya 3 baada ya kufanya shambulizi kwa kupasiana na Marcus Rashford, ambaye aliongeza chuma cha nne baadaye.

Lilikuwa goli la kwanza kwa beki huyo katika Premier League baada ya michezo 80 katika mashindano, amejaribu kupiga mashuti 18 ambayo hayakuelekea langoni na kufanikisha mashuti matatu ambayo yalielekea golini.

Fernandes amesema alikuwa akimtania Wan-Bissaka katika vyumba vya kubadilisha nguo, kwa kumuambia goli lako lilikuwa ni krosi mbaya uliyokosea.

“Hatukujua kama ange shuti!” alisema kupitia MUTV. ” Ni ngumu kuamini kama angefunga kwa sababu hatujawahi kumuona akipiga mashuti.

“Tulikuwa tukimtania katika vyuma vya kubadili nguo, tulisema wote tulikua tunajua anataka kupiga krosi na ile alikuwa amekosea na bahati nzuri akafunga.

“Kila mtu anajua kwamba Wan- Bissaka ni mlinzi lakini anaweza akaonesha zaidi kwamba pia ni mshambuliaji, nadhani ana ubora wa kufanya hivyo.


Unapenda kuwa shujaa?

Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua. 

Cheza sasa 

Samurai Ken Online Casino

25 Komentara

    Wana bisaka hafai

    Jibu

    Ni beki mzur Ila kunamamb kidg aongeze awe bola

    Jibu

    kwa uwezo aliokua nao kama watampata nafasi ya kutosha pale clabuni naimani mengi tutayaona wan bissaka alionesha uwezo aliokua nao

    Jibu

    Ni beki mzuri Ila aongeze juhudi ktk majukumu yake

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Mtuwakaz wa Man U anajua

    Jibu

    Atafany mengi makubwa kikubw wampe ushirikiano wa kutosha

    Jibu

    Kila mtu anajua kwamba Wan- Bissaka ni mlinzi lakini anaweza akaonesha zaidi kwamba pia ni mshambuliaji, nadhani ana ubora wa kufanya hivyo.

    Jibu

    kijana alionesha ufundi wa hali ya juu sana mpaka kuipatia united ushindi

    Jibu

    Ni beki mzuri

    Jibu

    Nakala pendwa

    Jibu

    Ni beki mzuri sana

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Wan bissaka bek makin

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    duuh

    Jibu

    Bonge la makala

    Jibu

    Yuko viziri sana

    Jibu

    Namuelewa sana

    Jibu

    Ni beki mzuri

    Jibu

    Jamaa yupo vizur

    Jibu

    Wan-Bissaka fundii

    Jibu

    Yuko vizuri Sana

    Jibu

    Anajitahidi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.