Wasiwasi umetawala kwa wapenzi wa Liverpool baada ya taarifa za jeraha la Joe Gomez, ambaye anaripotiwa huenda akawa na jeraha sawa na la lile linalomuweka Van Dijk nje ya dimba.
Nyota huyu mwenye miaka 23 ameenda kufanyiwa vipimo kujua hali ya jeraha lake, lakini ripoti ya awali inawapa hofu wana-Liverpool.
Kama ikiwa ripoti kamili baada ya uchunguzi itathibitisha ukubwa wa jeraha la Joe Gomez katika kiwango ambacho kinahofiwa basi itakuwa ni taarifa mbaya sana kwa Liverpool.
Liverpool tayari wameshampoteza Van Dijk kwa sehemu ya msimu iliyosalia, ni wazi kuwa hawapo katika nafasi ya kumpoteza tena mchezaji kama Gomez kwa wakati huu.
Van Dijk alipata jeraha katika Debi ya Merseyside na amefanyiwa upasuaji mapema mwezi huu. Wakati huo Trent Alexander Arnorld naye anatarajiwa atatumia takribani mwezi mzima kuuguza jeraha lake.
Thiago Alcantara na Alex Oxlade-Chamberlain pia hawapo dimbani. Huu ni mtihani, bila shaka Guardiola anaandaa namna bora ya kuushinda.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!



Fatuma kasomo
Gud news
magdalena
majeraha yamekuwa ndo changamoto kubwa sana kwa wachezaji wengi na iyo inatokana na kukaa kipindi kirefu bila mazoezi sababu ya gonjwa la corona
Elika
Dah majeraha yamekuwa tishio kwa baadhi ya vilabu huko barani ulaya
Fatina mfigi
Duuh mbona ayo majerah ss yamekuwa kibok
Dorophina
Pengo kubwa kwa liverpool
Adelta
Baadhi ya vilabu ulaya majeraha yamezidi inabidi wacheze kwa umakini sana
Nasra
Dah sio bahari njema kwa Liverpool
Khadija
Pole sana
Carolyn
Pole yake
Tatu
Liverpool wanachangamoto sana kwa wachezaji wao kuukia mara mara wafanye kumsajili mtu mwingine
Mwajumah
Pengo kubwa kwa Liverpool
Angelina
Nice update
Lydia Emmanuel Magoti
Wasiwasi sio mchezo naukiwa nawasiwasi utofanya kitu kwenye kaz
Saupha mohamed
Dhhu pole sana
Sabrina
Daaah pole sana
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Rahma
Nice
Povel
Get well soon
Furahav
Ndo maisha soka yalivyo.