Barcelona: Mishahara Bado Hali Tete!

Miamba ya soka la Hispania – Barcelona bado hali ni tete kwenye suala la mishahara ya wachezaji. Waswahili wanasema “Hakatwi mtu hapa!!”, suluhisho ni nini?

Barcelona imeripoti hali mbaya ya kiuchumi inayoikumba timu hiyo kwa sasa kutokana na mlipuko wa COVID19. Kama sehemu ya kuendana na hali, uongozi wa timu hiyo ulilenga kupunguza mishahara ya wachezaji kwa takribani 30%.

Kama sehemu ya kutafuta suluhisho la hali hiyo, kulikuwa na vikao vingi kati ya uongozi wa Barcelona na wawakilishi wa wachezaji katika kujadili suala hili. Mpaka kufikia jana, Novemba 11, 2020. Hakuna maridhiano kuhusu kupunguza mishahara ya wachezaji.

Taarifa rasmi kutoka Barca inasema “Leo, Novemba 11 baada ya vikao vingi, na majadiliano yasiyo na kikomo, hakuna maridhiano yaliyofikiwa na pande zote. ”

Pande zote zinazohusika katika hili zimejiwekea ukomo wa mchakato huu kuwa ni Novemba 23. Lengo kubwa la Barca ni kupunguza mishahara ya wachezaji hasa wanaolipwa mkwanja mrefu kwenye kikosi hicho – Lionel Messi akiwa ni mmoja wapo.

Tayari baadhi ya wachezaji nyota kama Luis Suarez, Ivan Rakitic na Arturo Vidal wameshaondoka kwenye klabu hiyo ambayo kwa sasa inashika nafasi ya 8 kwenye msimamo wa LaLiga.


UMEJARIBU HII POKER YA VIDEO?

Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!

Meridianbet Casino

INGIA MCHEZONI!

21 Komentara

    Duh kwa upande wa wachezaji hali si ni mbaya sana..na hili janga la Corona na limemaliza kila kitu,Corona sio poa

    Jibu

    Klabu nyingi zimeyumba kiuchumi mishahara ya wachezaji imekuwa gumzo kubwa corona imeharibu mambo mengi na uchumi

    Jibu

    Kuyumba kwa uchumi si kilio cha Barcelona pekee Ni kilio cha club nyingi sababu ya gonjwa LA corona na swala LA usajili

    Jibu

    Uchumi umeyumba Corona sio pouwa

    Jibu

    Duh sio Poa

    Jibu

    Duu mpaka kiereweke

    Jibu

    Mh!!!mbona makubwa

    Jibu

    Uchumi umeyumba dunia nzima kutokana na corona

    Jibu

    Uchumu umekua atali sana

    Jibu

    Corona imesababisha uchumi kushuka sana

    Jibu

    Duuh sio pow

    Jibu

    Uchumi umeyumba kona zote

    Jibu

    Hali ishakua tete uchumi umeyumbaa

    Jibu

    duh sio poa

    Jibu

    Kwa kwel hata uku hali ndio hiyo hiy

    Jibu

    Janga hili ni karibia timu zote kiuchumi wakovibaya zaidi nikuvumilia hali mpaka itakapo kuwa sawa

    Jibu

    Duhu sio poa

    Jibu

    Barca imeyumba kiuchumi sabab haijauz wachezaj

    Jibu

    Kinachotakiwa wachezaji wakubaliane tu na ali hiliyokuwepo hakuna pa kukukimbilia kila clabu umekua na ali hiyo hiyo

    Jibu

    Mlipuko wa corona umesababisha vilabu kuporomoka kwa uchumi dunian

    Jibu

    Barecelona ni klabu ambayo imetetereka kimapato baada ya kukosa ligi na champion league

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.