Chelsea Kukutana na FC Porto Robo Fainali ya UCL

Droo ya Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa imetoka siku ya leo Ijumaa Ambapo timu ya Chelsea imepangwa kukutana na FC Porto wakati ya Manchester City watawaongoza Borussia Dortmund.

Chelsea Kukutana na FC Porto Robo Fainali ya UCL

Liverpool wamepangwa kumenyana na Real Madrid katika robo fainali wakati pia tutashuhudia timu mbili zilizokutana katika fainali ya Champions League msimu uliyopita Bayern Munich na Paris Saint-Germain zikikutana tena.

Manchester City ya Pep Guardiola itakuwa katika mawindo yake ya kuleta taji ya Champions League kwa mara ya kwanza katika huko Etihad Stadium watakuwa na kibarua cha kuwasimamisha Jadon Sancho na Erling Haaland ambao wamekuwa na muunganiko mzuri katika timu ya Borussia Dortmund.

Paris Sain-Germain watakuwa katika mawazo ya kulipiza kisasi kwa Bayern Munich baada ya kupokea kipigo cha 1-0 katika fainali ya UCL 2020 goli pekee lililofungwa na Kingsley Coman.

Michezo ya kwanza ya robo fainali imepangwa kuchezwa April 6 na 7 na mechi za marudiano zitachezwa wiki moja baadaye.

Droo kamili ya robo fainali ya Ligi ya Mabngwa:

Manchester City vs Borussia Dortmund

Porto vs Chelsea

Bayern Munich vs PSG

Real Madrid vs Liverpool


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

8 Komentara

    Tunasubiri dakika90

    Jibu

    Bonge moja la mech

    Jibu

    Moja tuone

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Bonge la mechi

    Jibu

    Mmmh nasubir tuone Mambo yatakuaje

    Jibu

    Mechi itakuwa kali htr dakika 90 ndio muamuzi

    Jibu

    Nawaombea hawa Chelsea wapigwe tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.