Moore Awaokoa Wales dhidi ya Mexico

Kieffer Moore alifunga bao pekee la mchezo wakati Wales walipopata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mexico siku ya Jumamosi.

Wales ilibadilisha wachezaji wote 11 baada ya kutoka kupoteza kwa 3-1 mchezo wa kutafuta tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia dhidi ya Ubelgiji siku ya Jumatano, lakini kikosi kipya cha Wales kilichuana dhidi ya timu iliyo nafasi ya tisa viwango vya soka.

Bao la uamuzi lilikuja baada ya dakika 11 tu, Moore akidhibiti pasi ya Jonny Williams kabla ya kumpita Guillermo Ochoa.

Hilo lilikuwa bao la tano la mshambuliaji wa Cardiff City Moore katika mechi 14 alizocheza Wales – angalau mbili zaidi ya mchezaji yeyote wa Wales tangu alipoanza kuichezea mwezi Septemba 2019.

Hirving Lozano aliwakaribia wageni katika kipindi cha pili, lakini Wales – ambao walikuwa na Chris Gunter alikuwa mchezaji wa kwanza kufiksha mechi 100.


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

9 Komentara

    Iko vizuri

    Jibu

    Vinzur sana

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Amefanya Jambo zuri

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Kaz nzur

    Jibu

    Ni jambooo la kheri

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.