Kane Hatihati Kukosa Fainali Kesho

Nahodha wa kikosi cha Tottenham, Harry Kane ana hatihati ya kukosekana kesho kwenye mchezo wa fainali ya Carabao Cup dhidi ya Manchester City.

Kane aliumia kifundo cha mguu Ijumaa iliyopita wakati timu yake ilipokuwa ikichuana dhidi ya Everton mchezo ambao ulikuwa ni wa mwisho kwa Jose Mourinho kabla ya kufukuzwa kwenye timu hiyo.

Kane

Nyota huyo mwenye miaka 27, alikosa mchezo kati ya timu yake ya Tottenham dhidi ya Southampton ambapo ilishinda mabao 2-1 kwenye Ligi kuu ya England kutokana na maumivu ya goti.

Taarifa zimeeleza kuwa Kane ambaye ni namba moja kwa utupiaji katika kikosi hicho ametupia jumla ya mabao 26 katika michuano yote alianza mazoezi na wenzake lakini hali ya kuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa kesho bado haijajulikana.


MKWANJA MARIDHAWA NA KASINO YA 777 MEGA DELUXE

Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Kane pole sana

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Duuh pole yake

    Jibu

    Sa itakuaje

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Kane again

    Jibu

    Hoo pole sana#meridianbett#

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.