Messi Dhidi ya Modric Nani Kucheka leo?
Timu ya taifa ya Argentina itakua uwanjani leo kukipiga na timu ya taifa ya Croatia kwenye mchezo wa nusu fainali kombe la dunia, Huku watu wengi wakisubiri kati ya Lionel …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Timu ya taifa ya Argentina itakua uwanjani leo kukipiga na timu ya taifa ya Croatia kwenye mchezo wa nusu fainali kombe la dunia, Huku watu wengi wakisubiri kati ya Lionel …
Lionel Messi anashiriki Kombe lake la tano la Dunia mwaka huu akiiongoza Argentina katika michuano hiyo nchini Qatar. Messi amethibitisha kuwa Kombe la Dunia la 2022 litakuwa la mwisho kwake, …
Lionel Messi amesema kampeni ya Argentina ya Kombe la Dunia sasa imeanza rasmi baada ya kuiwezesha timu yake kushinda 2-0 dhidi ya Mexico ili kuzuia kuondolewa mapema katika mashindano hayo. …
Lionel Messi atakosa mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa ya Paris Saint-Germain dhidi ya Benfica, lakini kocha mkuu wa timu hiyo Christophe Galtier anatarajia mchezaji huyo kurejea kwa ajili …
Baada ya Neymar kutamka hadharani uwezekano wa kucheza na Messi mwakani, Mkurugenzi wa michezo wa PSG – Leonardo Araujo, akwepa kuzungumzia hilo. Wiki iliyopita, Neymar alisikika akisema anataka kucheza na …
Wakati Inter wakijaribu kumsajili Messi, Manchester United wanamfukuzia James na Chelsea karibu kukamilisha dili na Countiho. Lionel Messi anaweza kuwa tayari kwa Inter Milan? Nyota huyu amekuwa akihusishwa na …
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Earling Haaland kuwakosa Luton Town leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza unaotarajiwa kupigwa katika dimba la Etihad. Haaland anaripotiwa kupata majeraha ambayo …
Kylian Mbappe anasisitiza kuwa Lionel Messi alistahili kutwaa tuzo ya Ballon d’Or iliyoongeza rekodi kwa mara ya nane baada ya kushinda Kombe la Dunia msimu wa baridi uliopita nchini Qatar. …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameweka wazi kua staa wa zamani wa klabu ya Barcelona Lionel Messi ndio anastahili kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa dunia ya …
Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ambaye anakipiga katika klabu ya Inter Miami ya nchini Marekani kwasasa amesema hafikirii kuhusu kombe la dunia lijalo mwaka 2026 kwasasa. …
Lionel Messi amefurahishwa na safari yake ya Marekani baada ya kukamilisha uhamisho wa kwenda Inter Miami. Messi mwenye miaka 36, alifichua mwezi uliopita kwamba alikubali kujiunga na timu ya …
Mmiliki wa Inter Miami Jorge Mas amefichua kuwa ilichukua miaka mitatu ya mazungumzo kumleta Lionel Messi katika klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Soka. Mshindi huyo wa Kombe la …
Lionel Messi alizomewa na mashabiki wa Paris Saint-Germain katika mchezo wake wa kuiaga klabu hiyo. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa odds kubwa. Kabla ya mechi yao ya …
Steven Nzonzi amesema kuwa, Lionel Messi hana chochote cha kuthibitisha katika maisha yake ya soka na kuna na mengi ya yeye kupenda kuhusu kucheza nchini Saudi Arabia. Huku muda …
Rafael Leao ataanza hii leo kwenye mechi ya Milan dhidi ya Inter leo usiku, lakini Gazzetta linaonya kwamba Mreno huyo ‘sio Leo Messi’, hivyo Rossoneri ‘lazima wacheze kama timu ili …
Lionel Messi amerejea mazoezini na klabu ya Paris St Germain kufuatia kusimamishwa kwake kwa safari isiyoidhinishwa ya kwenda Saudi Arabia. Klabu hiyo ya Ligue 1 ilithibitisha kwenye akaunti yao …
Kocha mkuu wa Barcelona Xavi ameshangazwa na swali kuhusu Lionel Messi na Bruce Springsteen siku ya Ijumaa, lakini akasema klabu hiyo itajadili uwezekano wa kumnunua Messi mara tu watakaposhinda taji. …
Jisajili na Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo unaopenda wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. https://a.meridianbet.co.tz/c/TRqTCA Usiku wa Mabingwa wiki hii utaenda kuandika historia nyingine, zinatafutwa …
Kocha mkuu wa Paris Saint-Germain Christophe Galtier ana matumaini kuhusu mipango ya klabu hiyo kwa msimu ujao, lakini anakiri kuwa kuna sehemu ambazo zinahitaji kuboreshwa “kwa kiasi kikubwa”. PSG …
Timu ya taifa ya Argentina imemtukuza Lionel Messi kwa magwiji wa Kombe la Dunia kwa kukipa kituo chao cha mazoezi kwa jina la nahodha wao mahiri. Casa de Ezeiza, …