Medvedev Ajiondoa Mbio za Ubingwa French Open.
Daniil Medvedev amejiondoa katika nafasi ya kupambania kutwaa taji la French Open baada ya Mrusi huyo kupoteza dhidi ya Richard Gasquet kwenye Geneva Open katika mechi yake ya kwaza …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Daniil Medvedev amejiondoa katika nafasi ya kupambania kutwaa taji la French Open baada ya Mrusi huyo kupoteza dhidi ya Richard Gasquet kwenye Geneva Open katika mechi yake ya kwaza …
Mcheza tennis nambamoja kwa ubora duniani Daniil Medvedev ameshndwa kulipa Kisasi kwa Rafael Nadal baada ya kupoteza tena kwa mfululizo wa set 6-3, 6-3 siku ya ijumaa kwenye mchezo wa …
Mcheza Tennis, Rafael Nadal alimshinda Matteo Berrettini na kufika fainali yake ya sita ya Australian Open mjini Melbourne na sasa atamenyana na Daniil Medvedev siku ya Jumapili. Mchezaji huyo …
Mchezaji namba 2 kwa ubora duniani (wanaume), Daniil Medvedev, amefuzu hatua ya 16 bora kunako mashindano ya Australian Open. Medvedev alikua uwanjani akichuana na Botic van de Zandschulp katika uwanja …
Jiji la Melbourne, Australia, linaendelea kuburudika na mashindano ya Australian Open yanayoendelea nchini humo. Baadhi ya mastaa wanaendelea kufanya vizuri viwanjani. Daniil Medvedev amefanikiwa kutinga hatua ya pili ya michuano …
Ilikua ni kama ndoto ambayo sasa ni uhalisia, Daniil Medvedev atwaa ubingwa wa US Open 2021 mbele ya Novak Djokovic. Pengine hakuna aliyemdhania Medvedev kwenye mchezo wa fainali, lakini lolote …
Baada ya kukuru kakara za mashindano ya US Open kuanzia hatua za awali, hatimaye miamba miwili kuchuana kwenye fainali Jumapili hii. Djokovic vs Medvedev! Mchezaji bora wa dunia (wanaume), Novak …
Baada ya kupoteza mchezo wa fainali ya US Open 2019, hii ni nafasi kwa Daniil Medvedev kurekebisha makosa na kunyanyua kombe, itawezekana? Medvedev alitinga fainali yake ya kwanza ya Grand …
Mchezaji wa tenesi namba 2 kwa ubora duniani (wanaume) – Daniil Medvedev, atakosekana kwenye mashindano ya Monte Carlo Masters baada ya kukutwa na maambukizi ya COVID19. Medvedev amewekwa kwenye uangalizi …
Pengine ni matokeo ambayo wengi hatukuyatarajia kwenye mashindano ya Miami Open 2021. Upande wa wanawake, Naomi Osaka amefungashiwa virago vyake huku Daniil Medvedev akiungana naye kwa upande wa wanaume. Osaka …
Mambo yanazidi kunoga kwenye mchezo wa tenesi. Safari hii tunaangazia mashindano ya Miami Open 2021. Mzunguko wa tatu umekuwa na matokeo ya aina yake, wengine wanafuzu huku wengine wakifungasha virago …
Katika hali isiyo ya kawaida kwenye Australian Open, kocha wa Daniil Medvedev aliondoka na kumuacha mchezaji huyo akitaabika uwanjani. Kocha wa Medvedev – Gilles Cervara, alitoka uwanjani wakati mchezaji huyo …
Mashindano ya ATP Finals 2020 yamemalizika na Daniil Medvedev ameumaliza mwendo kwa kubeba taji kubwa zaidi kwenye maisha yake ya uchezaji tenesi mpaka sasa. Fainali ya ATP 2020 ilimkutanisha Medvedev …
Kunako Mashindano ya ATP Finals 2020, mchezaji namba 1 kwa ubora duniani – Novak Djokovic, ameangukia pua kwa Daniil Medvedev katika mchezo wa kuisaka tiketi ya nusu fainali. Djokovic amejikuta …
Mashindano ya ATP Finals 2020 kwenye mchezo wa Tenesi yanaendelea katika uwanja wa O2 Arena nchini Uingereza. Novak Djokovic na Daniil Medvedev wanaendelea kuwasha moto kwa ushindi kwenye michezo yao. …
Carlos Alcaraz ndiye mchezaji wa hivi punde kuthibitisha kuwa hatashiriki mashindano ya Monte Carlo Masters. Mchezaji huyo nambari mbili duniani tayari ana mataji mawili kwa jina lake mnamo 2023 …
Uongozi wa US Open unalenga kuwaruhusu wachezaji wa Tenisi wa nchi za Russia na Belarus kushiriki mashindano hayo baada ya Wimbledon kuwazuia wachezaji hao. Wachezaji wa Russia na Belarus …
Mcheza Tenisi namba nane kwa ubora duniani wa Urusi, Andrey Rublev amesema uamuzi wa kufungia wachezaji wa Urusi na Belarus kushiriki mashindano ya Wimbledon mwaka huu ni ubaguzi wa …
Wachezaji kutoka mataifa ya Urusi na Belarus hawataruhusiwa kushiriki na kucheza kwenye mashindano ya Wimbledon mwaka huu kutokana na uvamizi waliofanya kwenye nchi ya Ukraine. Miongoni mwa wachezaji maarufu ambao …
Bingwa mtetezi Stefanos Tsitsipas amefanikiwa kutinga fainali ya Monte Carlo Masters, ambapo atavaaana na Mhispania Alejandro Davidovich Fokina. Tsitsipas mchezaji namba 3 kwa ubora duniani alimuondoa Alexander Zverev kwa …