Chelsea Shakani Kuwakosa Watatu Dhidi ya Watford

Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel atafanya maamuzi dakika za mwisho kama Jorginho, Reece James na Timo Werner wanaweza kucheza dhidi ya Watford siku ya Jumatano The Blues wakiwa ugenini kwa mchezo wa Premier League.

Chelsea Shakani Kuwakosa Watatu Dhidi ya Watford

Tuchel alisema wachezaji hao watatu walifanya mazoezi siku ya Jumanne na watakabiliana na vipimo kabla ya mechi hiyo itakayopigwa katika dimba la Vicarage Road.

Chelsea tayari ilikuwa na majeruhi watatu ambao ni Ben Chilwell, Mateo Kovacic na N’Golo Kante na kocha Tuchel amesema kikosi chake kitakuwa kikifuatilia kwa ukaribu kwa wiki zijazo.

“Itakuwa changamoto, lakini jambo zuri ni kwamba hapo awali ilikuwa na changamoto,” Tuchel alisema. “Hatubadilishi utaratibu wetu, tuna mawasiliano ya karibu na idara za matibabu na mazoezi ya mwili, na tunajaribu kutabiri mzigo na nani amezidiwa.

“Tutaangalia tunachohitaji katika michezo ijayo kuanzia hapo. Hatua kwa hatua. Ukiangalia mbele sana unaweza kuona wiki hizi zitakuwa ngumu, ndio maana tunaangazia undani, mchezo unaofuata na labda. michezo miwili iliyofuata.


MUDA WA KUJIACHIA NA CARNAVAL JACKPOT

Mabingwa Meridianbet hawajawahi kukuacha mnyonge hasa katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, kasino maridhawa ya Carnaval Jackpot inakupa thamani ya dau lako. Kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.