Borussia Dortmund wamekuwa kwenye mazungumzo ya kutaka kumsajili Karim Adeyemi tangu Novemba klabu ikijiamini kufikia makubaliano kamili na RB Salzburg wiki zijazo. Yeye ndiye mlengwa mkuu baada ya mkataba wa Niklas Süle kukamilika.

Wakiwa na mapango wa kuongeza wachezaji wanne zaidi baada ya usajili wa Süle kukamilika Mazungumzo tayari yamefikia sehemu nzuri kwa upande Adeyemi.
Kinda huyo wa kimataifa wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 20 amefunga mabao 14 katika michezo 17 ya Austarlia Bundesliga na mabao 4 kwenye michezo 8 ya Ligi ya Mabingwa msimu huu.
Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.


