Kocha mkuu wa zamani wa Borussia Dortmund Lucien Favre na bosi wa zamani wa Chelsea Frank Lampard ni miongoni mwa majina yanayotazamwa na Newcastle United kuchukua jukumu la kuinoa klabu hiyo baada ya kuripotiwa kwamba Steve Bruce yupo mbioni kufugashwa vilago,Telegraph ya ripoti.

Steve Bruce anatarajiwa kuacha kazi ndani ya masaa 48 yajayo, Newcastle inataka kuleta meneja mpya kabla ya mechi yao dhidi ya Tottenham siku ya Jumapili.
Wote wawili Favre na Lampard hawana dili yoyote mpaka sasa, na kocha wa zamani Chelsea alikuwa karibu kujiunga na Crystal Palace msimu wa joto, na labda watakuwa tayari kuchukua nafasi ya Bruce bila kuhitaji mazungumzo yoyote na vilabu vingine.
Fanya wiki yako iwe ya kuvutia zaidi, tunaelekea Los Angeles kutengeneza mkwanja na kasino maridhawa ya LA Rouge kutoka katika kasino za mtandaoni za meridianbettz, Fursa ya kufurahi huku unajaza pochi yako.

CHEZA HAPA

