Neymar Atacheza Tena na Messi Barcelona - Cury

Neymar Jr ataungana tena na Lionel Messi huko Camp Nou hii ni kwa mujibu wa wakala wa zamani wa Kibrazil na skauti wa zamani wa Barcelona Andre Cury.

Neymar Atacheza Tena na Messi Barcelona - Cury

Cury alitumia muda wa miaka 10 kufanya kazi na Barcelona akiwa kama wakala wao nchini Brazil na alifanya kazi kubwa katika uhamisho wa Neymar kutua Barcelona.

Baada ya kushirikiana na Messi msimu ambao Barca ilishinda LaLiga 2014-15 na 2015-16na Copa del Rey tatu Neymar aliondoka Barcelona na kwenda Paris Saint-Germain mwaka 2017 lakini Cury amesema wawili hao wanaweza kuungana tena.

Messi amekuwa akihusishwa na kuihama Barcelona, na vilabu vilivyokuwa vinahushishwa ni PSG na Manchester City lakini Cury anasema anahisi wawili hao wanaweza kuwa pamoja tena huko Catalan.

“Miaka miwili iliyopita Neymar aliniomba anataka kurejea Barcelona tulijaribu na tulikuwa karibu kukamilisha mpango huo.cury aliiambia El Litoral.

“Mtu pekee anayeweza kuwaunganisha tena wachezaji aho ni rais mpya wa Barcelona Joan Laporta, Messi hataki kuondoka tena Barcelona ameamua maisha yake na historia yake iwe ni Barcelona.

“Neymar atacheza tena na Messi lakini itakuwa huko Barcelona.


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Hii itakuwa poa miamba hao wawili wakikutana

    Jibu

    Itakuwa bonge la mechi

    Jibu

    Itakuwa bab kubwa hii

    Jibu

    Hii si ya kukosa

    Jibu

    Itakuwa mechi kali

    Jibu

    Itakua njema

    Jibu

    Kutanoga uwanjanii

    Jibu

    Itakuwa safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.