Kevin De Bruyne alitengeneza asisti ya 100 kwa Manchester City kwenye mashindano yote na krosi nzuri ambayo iliunganishwa ufunguzi wa John Stones dhidi ya Crystal Palace.

Kwa kuwa hapo awali alikuwa amekaribia kufikisha historia hiyo wakati alipojaribu kumtengenezea Raheem Sterling, De Bruyne alifikia idadi hiyo 100 (karne) kwa mtindo bora katika dakika ya 26 siku ya Jumapili.
Baada ya Palace kushindwa kuzuia mipra wa kona, De Bruyne alipiga krosi safi ya mguu wa kulia,na kumfikishia Stones aliye unganisha kwa kichwa, na Stones alisherehekea bao lake la pili la Ligi Kuu na la kwanza kwa City.
Inamaanisha mchezaji wa Ubelgiji sasa ameunda magoli 31 zaidi katika Premier League hakuna mchezaji mwenye idadi nyingi ya assist tangu alipoanza kuichezea City mwaka 2015.
Katika rekoddi yake ya asisti 100, 75 zimetoka kwenye Ligi Kuu, kutoka katika mechi 165, wakati mchezaji huyo wa miaka 29 ametengeneza mabao 15 kwenye Ligi ya Mabingwa, katika michezo 37 iliyocheza.
Mengine matano yametokea kwenye Kombe la FA, na manne kwenye Kombe la EFL – ambalo City walishinda mara nne wakati wa De Bruyne na klabu – na moja ilipatikana kutokea kwenye kufuzu Ligi ya Mabingwa.
Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.



Adelta
De Bruyne yuko vizuri
Sarah
De bruyne Yuko poa
Sania
De bruyne anafanya poa
warda
Bruyne yupo vizuri sana
Dorophina
Bruyne jembe
Magdalena
Safi kwa kazi nzuri
Sabrina
De Bruyne fundii
Rahmal
De bruyne Yuko poa
Hopemwaikuka
Kaz kaz kijana
felister
kazi nzuri de bryune
Shakila mrope
Safi san brayune
Mwanahamisi
Kazi kazi
Ernest Kimeru
DE Bruyne hana mpinzani kwenye ulimwengu wa soka kwa sasa
Issa
Mkali wao
Angelina
Yuko vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Wapo vizuri
Neema juma
Kijana yuko vzr
Caroline
Hongera sana
Sadick
Naamini mpaka leo Chelsea inajilaumu mno kwa kuuza jembe hili