Baada ya kuweka rekodi sawa na bingwa mara 7 wa mbio za langalanga – F1 (Michael Schumacher), Andy Murray anasema Lewis Hamilton anastahili kuungana naye kama wanamichezo wenye heshima kubwa Uingereza.
Kunataarifa kuwa Lewis Hamilton atatunukiwa cheo cha ‘knighthood’ kwenye New Year Honors. Hizi ni tuzo ambazo zinatolewa na Malkia wa Uingereza – Queen Elizabeth II.
“Kwa mafanikio aliyoyapata kama mwanamichezo, anastahili. Ni kati ya wanamichezo waliofanikiwa zaidi kwenye historia ya nchi hii.” Murray ameiambia Good Morning Britain

Andy Murray ambaye alitunukiwa cheo hicho 2017, aliongeza kuwa “anasaidia mambo mengi nje ya uwanja, kwahiyo ninaweza kusema anastahili tuzo hiyo kulingana na mafanikio yake.”
Lewis Hamilton alitunukiwa tuzo ya MBE mwaka 2009, siku za karibuni alimwambia Sally Nugent wa BBC kuwa “itakuwa ni siku yake ya furaha sana kama atapata nafasi ya kutunukiwa tuzo na Queen Elizabeth II kwa mara nyingine”.

Wiki iliyopita, Bingwa wa F1 mwaka 1996 – Damon Hill alisema Lewis Hamilton amevunja vizuizi vingi kupitia mafanikio yake.
“Cheo cha knighthood haitokuwa ni utambuzi wa udereva wake tu, lakini pia ni kama dereva mwenye rangi nyeusi ambaye amefungua milango kwa watu wengine ambao sio weupe.
“Ameondoa utamaduni wa kuwa hiki hakiwezekani, kwamba kunamaeneo huwezi kufanikiwa kutokana na rangi ya ngozi yako. Ameondoa kabisa huo mtazamo.”
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
ahsatnte kwa taarifa
Hamilton ana historia ya kibabe.
Historia yake nzuri sana anastahili pongezi hamilton
Lewis Hamilton anastahili pongezi kubwa sana kwan ameweka historia nzuri tena ya kibabe
Ameweka historia nzuri mana kupewa kiapo hicho ni heshima kubwa
Anastahili pongezi kwa rekodi nzuri
Nice update
Kweli kabisa.amefanya mambo mengi mazuri
Lewis Hamilton anastahili sifa
Historia yake nzuri
duh!!!hana histori nzuri sana
Kwa histor hiy anaitaj pongezi kweli!!
He deserve that
Kweli kabisa jamaa anasitahili tunzo ya pekee
Ni kwl lewis hamilton anastail tuzo ya pekee katika mashindano hayo
Lewis Hamilton anasitahili pongezi nyingi kwa dhamira yake isiyoyumba kutafuta mafanikio na akayapata. Vikwazo vilichochea nia yake ya kusonga mbele kwa kasi zaidi. Ni moja ya mashindano magumu zaidi na ya kuvutia
Shukrani kwa taalifa
Anastahili pongezi
Wanamichezo kama hawa ni mfano wa kuigwa
Nice upadate 👍
Anastahl pongez
Nice
New updates.
History nzuri
Ameweka istoria nzuri maana kupewa kiapo chaeshima kubwa
Ameweka historian nzuri
Lewis Hamilton jeshi wa Formula One
Hamilton huwa anajuhudi sana