Baada ya kuweka rekodi sawa na bingwa mara 7 wa mbio za langalanga – F1 (Michael Schumacher), Andy Murray anasema Lewis Hamilton anastahili kuungana naye kama wanamichezo wenye heshima kubwa Uingereza.
Kunataarifa kuwa Lewis Hamilton atatunukiwa cheo cha ‘knighthood’ kwenye New Year Honors. Hizi ni tuzo ambazo zinatolewa na Malkia wa Uingereza – Queen Elizabeth II.
“Kwa mafanikio aliyoyapata kama mwanamichezo, anastahili. Ni kati ya wanamichezo waliofanikiwa zaidi kwenye historia ya nchi hii.” Murray ameiambia Good Morning Britain

Andy Murray ambaye alitunukiwa cheo hicho 2017, aliongeza kuwa “anasaidia mambo mengi nje ya uwanja, kwahiyo ninaweza kusema anastahili tuzo hiyo kulingana na mafanikio yake.”
Lewis Hamilton alitunukiwa tuzo ya MBE mwaka 2009, siku za karibuni alimwambia Sally Nugent wa BBC kuwa “itakuwa ni siku yake ya furaha sana kama atapata nafasi ya kutunukiwa tuzo na Queen Elizabeth II kwa mara nyingine”.

Wiki iliyopita, Bingwa wa F1 mwaka 1996 – Damon Hill alisema Lewis Hamilton amevunja vizuizi vingi kupitia mafanikio yake.
“Cheo cha knighthood haitokuwa ni utambuzi wa udereva wake tu, lakini pia ni kama dereva mwenye rangi nyeusi ambaye amefungua milango kwa watu wengine ambao sio weupe.
“Ameondoa utamaduni wa kuwa hiki hakiwezekani, kwamba kunamaeneo huwezi kufanikiwa kutokana na rangi ya ngozi yako. Ameondoa kabisa huo mtazamo.”
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



magdalena
ahsatnte kwa taarifa
Sauda
Hamilton ana historia ya kibabe.
Dorophina
Historia yake nzuri sana anastahili pongezi hamilton
Mwajumah
Lewis Hamilton anastahili pongezi kubwa sana kwan ameweka historia nzuri tena ya kibabe
Ester jackson
Ameweka historia nzuri mana kupewa kiapo hicho ni heshima kubwa
Adelta
Anastahili pongezi kwa rekodi nzuri
Angelina
Nice update
Caroline
Kweli kabisa.amefanya mambo mengi mazuri
Sania
Lewis Hamilton anastahili sifa
Nasra
Historia yake nzuri
Khadija
duh!!!hana histori nzuri sana
Fatina mfingi
Kwa histor hiy anaitaj pongezi kweli!!
Hopemwaikuka
He deserve that
aisha
Kweli kabisa jamaa anasitahili tunzo ya pekee
Povel
Ni kwl lewis hamilton anastail tuzo ya pekee katika mashindano hayo
Sadick
Lewis Hamilton anasitahili pongezi nyingi kwa dhamira yake isiyoyumba kutafuta mafanikio na akayapata. Vikwazo vilichochea nia yake ya kusonga mbele kwa kasi zaidi. Ni moja ya mashindano magumu zaidi na ya kuvutia
Rahma
Shukrani kwa taalifa
Saupha mohamed
Anastahili pongezi
Issa
Wanamichezo kama hawa ni mfano wa kuigwa
Gabriel
Nice upadate 👍
neema hassan
Anastahl pongez
samiah
Nice
Latifa juma mohamed
New updates.
Tatu
History nzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Ameweka istoria nzuri maana kupewa kiapo chaeshima kubwa
Sarah
Ameweka historian nzuri
Tahiya
Lewis Hamilton jeshi wa Formula One
warda
Hamilton huwa anajuhudi sana