Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Gabriel Jesus alihusika kwenye ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid wakiwa dimba la Etihad siku ya Ijumaa kwenye mchezo wa marudiano kwenye mashindano ya Champions League na wamefuzu kusonga kwenye hatua ya robo fainali.
Alianza kwa kucheza upande wa kushoto katika safu ya City ya ushambuliaji, Jesus alitumia vyema kosa lililofanywa mapema na beki wa Madrid Raphael Varane na kumpasia Raheem sterling aliyefunga goli la ufunguzi.
Karim Benzema aliweza kuisawazishia timu yake dakika 28 ya mchezo lakini Jesus alibadili nafasi nakuja kucheza kama mshambuliaji wa kati baada ya mapumziko Varane alifanya kosa jingine na Jesus alifunga goli la pili katika dakika 68 na kufanya dakika 90 ubao wa matokeo usome 2-1.
“Unajua,napambana kuwa mshambuliaji mkubwa,” aliiambia BT Sport.
“Kila siku nacheza kwa bidii iliniwe kama mshambuliaji Ronaldo alivyokuwa.
‘Najua ubora wake ni wa tofauti na mimi.”
Ni kweli kuitwa kwa Jesus ilikuwa na umuhimu kwa Guardiola katika mechi zote, na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 aliwafunga Real Madrid kwenye mchezo wa Awali katika uwanja wa Bernabeu.
“Nimependa mchezo wa mwisho tumekimbiza sana, tumecheza vizuri na kufunga magoli,” alisema Mbrazil huyo.
“Hiyo inaumuhimu sana kwetu dhidi ya klabu kubwa kama Real Madrid klabu bora kabisa katika mshindano haya, kwetu sisi huu ni ushindi mkubwa.
Lyon walimalizana na Juventus ingawa Juve alishinda mchezo huo lakini aliondolewa kwenye michuano kwa faida ya goli la ugenini walilopata Lyon hivyo basi robo fainali itawakutanisha Man City na Lyon.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri dogo ukikaza buti utakuwa kama yeye naunaweza kipaji chako kikazidi zaidi Jesus piga kazi dogo
Caroline
Kaza buti kweli kweli ili uwe kama Ronaldo
Zeiyana
Kikubwa nia tu kila kitu kinawezekana kwa uwezo wake halionesha pale uwanjani na kuja kufunga magoli 2 zidi ya mapinzani wao Real Madrid kama hataendelea hivyo ivyo naimani ndoto zake zitafikia
Sauda
Ongeza bidii, utamfikia.
Nasra
Ajitahidi tu
Adelta
Ongeza juhudi#meridianbettz
Fatina mfingi
Juhudi zinaitajika
Antony Luseno
Nia ikiwepo kwa kila jambo inawezakana
aisha
Jitahidi sana unaweza ukawa kama yeye hakuna kinachoshindikana
Ernest
Ukimuangalia Gabriel Jesus vizuri unamuona kama mshambuliaji hatari kwenye soka lakini kama pia anahitaji muda zaidi kudhihirisha hili, Ni wakati wake sasa kufanya kile kitu ambacho yeye anahisi anaweza fanya, Tunaona kwa upande wa City bado anakuwa kama Mbadala wa Aguero
Shafii
Mchezo wa mpira siku zote ukitaka kua na mafanikio makubwa ni nidhamu na kujituma kwa juhudi zote utafika mbali.
Dorophina
Yupo vizuri kimpira akiongeza nia atafikia kiwango anachokitaka au anaweza hata akamzidi huyo cr7
Janeflora malisa
Jitaid
Sadick
Kila kitu kinawezekana kwa kuamini moyoni kwamba unaweza. Anatakiwa kudhihirisha hilo msimu ujao kuchukua nafasi Aguero aliye majeruhi#meridianbettz
Sylvester
Jesus yupo vizuri lakini kusema kufikia kiwango cha Ronaldo hawezi kamwe
Tatu
Kila kitu malengo na kujitahidi atafika anapotaka
Povel
Kila la kheri kikubw kujitumah tu hapo
JULIANA
Yeah inawezekana kama utajituma
Mwanahamisi
Aongeze bidii
Devotha
Gabriel anaweza kuwa kama Ronaldo sawa Ila aongeze bidii san tuone ubora wake
Khadija
juhudi tu zinahitajika#meridianbettz
magdalena
afanye jitihada sana ili aweze kufikia malengo yake
Issa
Jesus ni mzuri sana ingawaje majeruh yanamfanya awe nje ya dimba lakini akicheza bila majeruh anwez kufika levo za ronaldo
Amiri Kayera
Anakipaji Sana na gor analijua
Mwajumah
Aongeze bidii
Furahav
Pambana
Hope mwaikuka
Weka nia utakua tu
felister
ukiwa na nia kila kitu kinawezekana
Gabriel
Gabriel yuko vzur sana
farida ahmadi
Gabriel Jesus hutakuwa kikubwa kujipa moyo mwenyewe kujiweka sawa hanaweza pia akampita mpk Cristian Ronaldo hata mm pia ni shabiki wako mzuri Sana huwa naangalia kuanzia timu hunayochezea ya Manchester city mpaka timu yako ya taifa ya Brazil
Saupha mohamed
Ajitaidi akunalinalo shindikana
Johnmary joel
Pence now pana njia zidi kupambana hataweza kumfikia#meridianbett
Frank
Akipambana anaweza maana goal analijua sana bwamdogo
David Pere
Ukisikia mchezaji anaota ndoto za mchana ni huyu duuhhhhhh
Genia Sikaluzwe
Jitihada lazma ziongezwe
Ester jackson
Kila kitu kinawezekana ni juhudi tu
Sabrina
Jitahidi utakua tu
Omary lukumbi
Jitihada huzaa matunda jitahid sana
warda
Akaze buti tu