Sven, Nimejipanga kwa Lolote

Ni kama kocha mkuu wa Simba Sven Vandernbroeck amekubali yaishe Simba, na hii inatokana na interview ya jana mara baada tu ya ushindi wa 2-1 vs Namungo.

Mtangazaji alimuuliza Sven ni kwa namna gani amejiandaa na michuano ya mabingwa Afrika baada ya kubeba ubingwa, Sven akajibu “timu inabidi iwe kamili na iandaliwe vizuri na hilo litafanywa na kocha mkuu, awe ni mimi au hata kama hatakua mimi”.

Jibu la Sven lilimfanya muandishi kumuulia kwanini anasema “huenda atakua yeye au sio yeye” na kocha huyo akajibu kwamba amesikia yanasoyemwa na yeye ni muajiriwa tu hivyo yuko tayari kwa habari yoyote hivi sasa.

Kocha huyo amesema kwa sasa anachukua likizo na wakati huo wa likizo atatuliza akili yake huku akisikilizia kama viongozi wake watamuambia arudi au asirudi.

Hii inakuja siku chache baada ya tetesi kuanza kuzagaa mitandaoni kwamba Simba hawana mpango tena na Sven pamoja na kuwapa makombe mawili msimu huu, kawapiga Yanga 4, kawapa ubingwa wa Tanzania, kawapa FA, vipi aondoke?


Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia Mchezoni

37 Komentara

    Nimekukubali sana kujiamin ndo mpango mzima#meridianbett

    Jibu

    Mtu anapo fanya vzr haina budi kubaki nae maana mimi sion alipo kosea hali ya mapungufu ni jambo la kawaida kwa kila mwanadamu ila amefanya kazi mzr sana msimu huu

    Jibu

    Uongozi nao inabidi wamfikilie.amepambana vyakutosha

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Hata kama awajaamua kumrudisha yupo vizuri hatapata sehem nyengine nzuri zaidi

    Jibu

    Kocha yupo vizuri Sana SEMA sisi mashabiki haturiziki

    Jibu

    Simba wanataka kuyumba wakimpoteza huyo jamaa maana msimu huu amefanya vizuri sana

    Jibu

    safi nimempenda kocha yupo tayari kwa lolote litakalotokea

    Jibu

    Kujiamini Ni kila kitu
    @ meridianbettz

    Jibu

    Kocha makini sana#Meridianbettz

    Jibu

    Msimu huu Sven amejitahidi sana angebaki tu simba

    Jibu

    Bongo hamna mpira na vilabu hivi viwili ndio chachu ya hilo

    Jibu

    Maamuzi ya kumtoa kazini yapo chini ya uwongozi wa simba wao ndo wanajua mapungufu yake aliyokua nayo licha ya kuchukua vikombe vyote hivyo.

    Jibu

    Amejiani nini?#meridianbettz

    Jibu

    Kocha yupo vizuri anajua Nini anakifanya kwenye kazi yake alafu kilabina damu anamapungufu yake kwaio Kuna kukosea na kunakupata kwaiyo msiwe mnamjaji Sana atayeye binadamu kwaio wenye krabu yao ndio wenye uwamuzi Kama watamtaka tena hau raha yupo vizuri anapamba anajitaidi Sana

    Jibu

    Uwongozi ndo unamjua vizuri kocha wao

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Pongezi kwake pia hakuna binadamu asiye kosea na nikawaida kwa makocha kutolewa katika nafasi walizo Nazi katika timu haijalishi ulifanya vizuri Mara ngapi ila kama ukifanya makosa ya Mara kwa Mara au ukafanya kosa zaidi lazima utaondolewa tu hakuna timu inayotaka kusifiwa ujinga.# meridianbettz

    Jibu

    Sven Vandernbroeck bado ananafasi ya kudhihirisha kiwango chake cha ufundi kwenye mashindano haya makubwa ambayo Simba wanaenda kupambana

    Jibu

    Moja ya matatizo ya soka letu ni kubadili makocha kila uchao, tunapenda matokeo mazuri lakini mafanikio endelevu huchukua muda tena taratibu kuyapata. Pengine kuna mengine nyuma ya pazia ambayo hatuyajui#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa za michezo na burudani

    Jibu

    Habar njm

    Jibu

    usitufokee

    Jibu

    imekaa poa

    Jibu

    Vilabu vyetu havikai n makocha hata wakiwapa mafanikio

    Jibu

    Imeeleweka hyo

    Jibu

    Hiyo Ndio kazi ya ukocha Yani uhakika zaidi wa kazi ni mdogo wakati mwingine

    Jibu

    Imekaa poa sana

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Tusubir week hii tutajua km yupo au la

    Jibu

    Kocha makini sana huyu

    Jibu

    Kocha licha ya kuchukua makombe yote hayo inawezekana ana mgogolo na uwongozi wa simba.

    Jibu

    Taarifa iko poaw

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Nice update 😌

    Jibu

    Ha ha ha yupo tayari kwa lolote

    Jibu

    Matola na Seven wametisha sana#Meridianbettz

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.