Lyanga Ajifunga Azam Miaka Miwili

Ayoub Lyanga, kiungo mshambuliaji mwenye mabao nane na pasi nane alipokuwa ndani ya Coastal Union leo Agosti 2 amesaini kandarasi ya miaka miwili kuitumikia timu hiyo.

Lyanga amefanyiwa vipimo mapema leo na kuonekana yupo fiti jambo ambalo limewafanya Azam FC wampe dili la miaka miwili.

Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa wamekamilisha usajili kwa mapendekezo ya Kocha Mkuu, Aristica Cioaba.

“Tumekamilisha usajili wa Lyanga kwa mkataba wa miaka miwili, bado kazi imeanza kwani huyu ni nyota wa tatu kwetu kutambulishwa.

“Hesabu zetu ni kuona kwama timu inakuwa imara zaidi na kuleta ushindani kwa msimu ujao, kikubwa mashabiki waendelee kutupa sapoti,” amesema.


Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia Mchezoni

36 Komentara

    Hongera Azam fc kwa usajili wa lyanga

    Jibu

    Kiungo mzuri acha adondoshe tu sahihi hawatojuta kumsajili

    Jibu

    Mashabiki tupo tunazidi kuwaombea
    Mpate mafanikio makubwa
    @ meridianbettz

    Jibu

    Azam fc wamefanya Jambo zuri sana kumsajili lyanga#Meridianbettz

    Jibu

    Lyanga ni mchezaji mzuri sana kila la kheri kaka

    Jibu

    kiungo mshambuliaji

    Jibu

    Kiungo yupo vizuri azam wamepata mtu wa kuwasaidia

    Jibu

    Wana lamba lamba wanasubili mambo mazuri kutoka kwake.

    Jibu

    Hongera kwa kumtwaa jembe

    Jibu

    Safi sana kijana kwa tulitumikia soka#meridianbettz

    Jibu

    Kila la heri ukaipende kazi yako

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Ongera Azam kwakusajiri kifaa

    Jibu

    Azamu fc hapo mmepata mchezaji hodari

    Jibu

    Fundi wa mpira#meridianbettz

    Jibu

    Usajili Tanzania Bara umepamba moto sijui wakina nani watalamba dume kwenye usajili

    Jibu

    Nafurahi usajiri wa Yanga na Azam unalenga zaidi wazawa hivyo tutafanya timu yetu ya Taifa kupata wachezaji mahiri#meridianbettz

    Jibu

    Muda wa wachezaji kupiga pesa.

    Jibu

    Hongera Lyanga

    Jibu

    Ni vzr

    Jibu

    Usaji mzurii

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Haya tunasubr tuwaone sio mnasajil tu alaf matokeo sifur

    Jibu

    Usaji mzuri sana huu

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Usajir mzur

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Ni jambo zuri club kusajili kwa matakwa ya kocha

    Jibu

    Usajiri mzuri kwa azam kazi kwake sasa lyanga kuwafanyia mambo mazuri wana lamba lamba hao.

    Jibu

    Masihi hapo kwanini asisaini mkataba mpya ili aendelee kupata pesa nzuri

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Kila kheri

    Jibu

    Jembe ilo

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Lyanga usiwaangushe Azam

    Jibu

    Bora huyu Aliyeenda Azam#Meridianbettz

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.