Lukula kocha mpya Simba Queens

UONGOZI wa klabu ya Simba umefikia makubaliano na Charles Ayeikoh Lukula kuwa kocha Mkuu wa kikosi cha Simba Queens.

Kabla ya kujiunga na Simba, Kocha huyo alikuwa akifundisha kikosi cha She Corparate ambao ndio mabingwa wa Ligi Kuu nchini Uganda kwa msimu uliopita.

Lukula ametangazwa leo na klabu ya Simba kuwa kocha Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili.

Kocha huyo ana leseni A ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ambayo inamuwezesha kukiongoza kikosi cha Simba Queens kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambayo itafanyika nchini Morroco.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.