Mwanasheria wa Lukaku Akutana na Klabu ya Inter

Romelu Lukaku amemuagiza mwanasheria kuangalia hali ya hewa juu ya uwezekano wa kurejea katika klabu yake ya zamani ya Inter baada ya kuwa na msimu mgumu na Chelsea.

Mwanasheria wa Lukaku Akutana na Klabu ya Inter

Mazungumzo ya leo yanahusu kupanga mpango wa mkopo ambapo Lukaku anakubali kupunguza mshahara wake kwa karibu asilimia 40 ili kuwezesha kurejea San Siro.

Hata hivyo, inaaminika kuwa The Blues huenda wakataka ada kubwa ya mkopo kati ya  €12m na  €24m ambayo inaweza kuonekana kuwa shida nchini Italia.

Chaguo la kumnunua linaweza kujumuishwa au muundo unaoruhusu malipo yote kwa misimu kadhaa.

Chelsea bado hawajatoa orodha kuhusu wachezaji wanaoondoka ambao watachagiza mipango ya uhamisho ya Chelsea majira ya kiangazi lakini sasa wanatarajiwa kukamilisha wiki hii.


SHINDA SAMSUNG A32 NA AVIATOR

SHINDA Samsung A32 ukiwa na mchezo wa Aviator kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet! Kwea pipa ukusanye zawadi zako pamoja na ushindi mnono wa mkwanja!

kasa wa njano, Kasa wa Njano Awapa Ubingwa wa CL Liverpool., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.