Julio: Tumefanya Usajili Mzuri

KOCHA Msaidizi wa Namungo, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amefunguka kuwa katika dirisha hili kubwa la usajili wamechukua wachezaji wazuri kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.

Akizungumzia maandalizi yao, Julio amesema kuwa tayari kikosi chao kimeanza maandalizi ya msimu ujao na kwa sasa wapo Jijini Dar.

“Tayari tumeanza mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya na hatuwezi kutamba kama wengine wanavyosema ila ligi itakapoanza ndio tutajua aliyejiandaa vizuri.

“Tumefanya usajili mzuri na tumeachana na baadhi ya wachezaji, maingizo mapya wapo saba ambao ni wa kigeni na nane wazawa.”


BASHIRI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.