Klabu ya Liverpool imethibitisha kumsajili golikipa wa Kibrazil, kinda Marcelo Pitaluga akitokea katika klabu ya Fluminense.
The Reds ilithibitisha kuwa mlinda lango huyo mwenye umri wa miaka 17 atakuwa na majukumu ndani ya kikosi cha kwanza katika viwanja vya mazoezi Melwood, wakati pia atakuwa akitokea katika akademi ya Liverpool.

Pitaluga alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Brazil cha umri chini ya miaka 17 (U-17) kilichoshinda kombe la dunia mwezi Novemba mwaka janana alitajwa mara mbili katika benchi la timu ya Fluminense katika Serie A msimu uliyopita, ambako kaka yake ambaye pia ni golikipa wa Liverpool Alisson, aliwahi kuchezea.
“Nilimuona kwa mara ya kwanza katika kikosi kilicho shinda kombe la dunia, ebu angalia mafaniko na umri aliyonao,”Mkuu wa magolikipa wa Liverpool John Achterberg aliiambia tovuti rasmi ya klabu.
“Unaona kwamba alikuwa ndani ya kikosi kilichokuwa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia alikuwa na umri mdogo zaidi, unaona umuhimu wake kwa sababu una magolikipa wawili wa rika moja lakini lazima uchague mmoja ambaye ni mdogo zaidi kwa sababu ya sifa nzuri aliyonayo.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!


magdalena
liverpool wanaaidi kunoa kikosi chao wanapata majembe matupu
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri kwa Livrpool
Rose kapinga
Safi dogo njoo ufanye mapinduzi
Sauda
Dogo anapiga ball hatari
Adelta
Ni habari njema kwa club ya Liverpool
Caroline
Karibu sana Liverpool
Nasra
Taarifa njema kwa washabiki wa Liverpool
Zeiyana
Liverpool wamepata bonge la kipa chipukizi hatawafaa sana kama watamtumia vizuri
Janeflora malisa
🔥
Mwajumah
Karibu sana Liverpool
Dorophina
Liverpool wamepata kipa mzuri na bado umri wake mdogo atafanya makubwa zaid
felister
kipa wa liver kahandsome ako hatariiii
Fatina mfigi
Karibu
Tatu
Liverpool wamepata mchezaji mzuri
Shani
Liverpool ni bonge la mchezaji
Ernest
Hazina ya baadaye hii
Venerose
Safi sana
Mwanahamisi
Liverpool wamepata bonge la kipa
Neema
Karibu dogo Liverpool
Saupha mohamed
Dogo yuoo vizuri
Samiah
Safi
Angelina
Mtoto mbichi ndo mzuri wazee watulie
Samira
Liverpool wapo vizuri
lombo
habar njema
Fatuma kasomo
Yupo vizuri
Issa
Kipa mzuri sana
Povel
Next generation 🖐️🖐️🖐️
Hopemwaikuka
Kapambane
David Pere
Liverpool wamepata kipa mzuri na bado umri wake mdogo atafanya makubwa zaid
Rehema
Unakaribishwa sana
Sabrina
Liverpool wamejipatia kipa bora alafu umri wake unaruhusu
aisha
Ni bora ili kikosi kiwe vizuri zaida
Amiri Kayera
Baadae wanamuandaa kua tegemeo
latifa juma mohamed
Vema, aje afanye mapinduzi
Gabriel
Dogo anajua yuko vzur