Bingwa wa zamani wa dunia na bondia wa Uingereza, Ricky Hatton siku kama ya leo mwaka 2011 alitangaza kuachana na mchezo wa Masumbwi.
Mwanandondi huyo aliyestaafu mwaka wa 2011, ambaye kwa sasa ni mkufunzi wa mabondia, kuna wakati alieleza kuwa alishawahi kujaribu kujiua.
“Nilijaribu kujiua mara kadhaa,” alisema. “Nilikuwa nikienda kwenye baa, kurudi, nikilia kwenye giza nikiwa nimetoa kisu.” “Mwishowe nilihisi kuwa huenda nikajiuwa kwa kulewa kwa sababu nilikuwa na uchungu mwingi.”
Hatton ameiambia BBC kuwa kuna umuhimu wa mabondia kupewa ushauri na kusaidiwa wanapostaafu ili kupata nafuu kutoka kwa shinikizo za akili.
“Wanasoka wana maajenti na wasimamizi wanaowasaidia katika vilabu vyao, lakini mabondia, mara tu muda wao unapoisha, unabaki peke yako,” alimaliza.
“Kuna mengi yanayofaa kufanywa kuwasaidia mabondia, wengi wetu tanaathirika kwasababu huu mchezo mtu yuko pekee yake na unapostaafu, unaishi maisha ya upweke”.
Hatton alipokonywa kibali cha ndondi mwaka wa 2010 baada ya kukiri kutumia mihadarati aina ya ‘Cocaine’.
Aidha, ameshinda mapigano 21 yakiwemo kumcharaza bingwa wa dunia wa light-welterweight Kostya Tszyu mjini Manchester mwaka wa 2005 na kuondoka na taji la IBF.
Mwaka wa 2006 alitangazwa bingwa wa dunia wa WBA.
Hata hivyo alikomeshwa na Floyd Mayweather Jr mnamo mwezi Disemba 2007 na Manny Pacquiao mwezi Mei mwaka wa 2009.
Latifa juma mohamed
Alikuwa bondia saf san
Rehema
Ricky alikuwa bondia mwenye kipaji kizuri
tumaini
Maoni:daah mwamba alikuwa noma
Amani
Ngumi msumari nouma Sana meridianbettz
Fatuma kasomo
Alikua anajua
Hamidu
Asante update#meridianbettz
Antony Luseno
Kwa Ricky ni bondia ambaye usingetamani astaafu mapema
Caroline
Aiseee pole sana
warda
Haya Mamichezo nayo sio ya kupigana mda mrefu#Meridianbettz
Mwanahamisi
Alikuwa bondia bora namkubali sana
Adelta
Alikuwa bondia mwenye mfano wa kuigwa
Asia Abdy
Bondia mahir
Ester jackson
Yuko sahihi sana Ricky Hatton kuacha peke yako katika soka la ngumi inatokea sana hasa kwa watu ambao ni maarufu ususani michezo unapo staafu unakuwa kila kitu umemaliza kama hukuweza kujiwekea msingi mapema kabla hujastaafu basi huwezi kuwa wa dhamani kwao na kukusahau kama ulikuwa unadhamini kwao katika uchumi .hivyo sio ngumi tu hata watu wanao Fanya kazi serikalini huwa wakistaafu wanakuwa wapeke hivyoabadiliko sijui yataaza lini .asante meridianbettz kwa nakala nzuri.
Fatina mfingi
Bondia yuko vizur
felister
Bingwa wa zamani wa dunia na bondia wa uingereza
Neema juma
Kaacha bonge la historia
JULIANA
Miaka inaenda,Ricky alikua bora hata kwenye ufundishaji wake utakuwa bora
Dorophina
Alikuwa bondia poa sana
Magdalena
Alikuwa mahili Sana katika ngumi
David Pere
Jamaa bado uwezo Alikuwa nao ,Yani anastafu kiwango chake Kama ataamua kurudi bado atakinukisha tu
Angelina
Jamaa alikuwa noma sana
Tatu
Mashabiki wa ndondi watamkumbuka sana
isha
Namkubali sana bondia hiyi
Genia Sikaluzwe
Alikuwaga bondia mzuri wa ngumi
Zuhura omary kindamba
Namkubali sana uyu bondia Alikua vizuri
Shafii
Kumbe Halton alikua kisiki kwenye uzito wa Kati duniani anastahili pongezi ila wengi wao wanakua wakijikita kwenye madawa wa kulevya.
Samira
Bondia mahili na mwenye kujituma akiwa ulingoni
Evaluziga
Kaacha bonge la historia
Samiah
Hiyo nibonge ya historia
Johnmary joel
Amekuwa mpambanaji sana hongera yake#meridiznbett
Salma
Ana rekodi nzuri
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
Khadija
Ricky alikuwa anajua ngum#meridianbettz
Saupha mohamed
Ricky alikua balaaa sanaa
Gabriel
Mwanandondi huyo aliyestaafu mwaka wa 2012, ambaye kwa sasa ni mkufunzi wa mabondia, alieleza kuwa amepitia uchungu mwingi namfaham sana π na nakumbuka alishawai kusema
“Nilijaribu kujiua mara kadhaa,” alisema. “Nilikuwa nikienda kwenye baa, kurudi, nikilia kwenye giza nikiwa nimetoa kisu.” “Mwishowe nilihisi kuwa huenda nikajiuwa kwa kulewa kwa sababu nilikuwa na uchungu mwingi”.
Hatton ameiambia BBC kuwa kuna umuhimu wa mabondia kupewa ushauri na kusaidiwa wanapostaafu ili kupata nafuu kutoka kwa shinikizo za akili.
“Wanasoka wana maajenti na wasimamizi wanaowasaidia katika vilabu vyao, lakini mabondia, mara tu muda wao unapoisha, unabaki peke yako,” alimaliza.
anasema kuwa alijaribu kujiua mara kadhaa kutokana na tatizo la shinikizo la kiakili
“Kuna mengi yanayofaa kufanywa kuwasaidia mabondia, wengi wetu tanaathirika kwasababu huu mchezo mtu yuko pekee yake na unapostaafu, unaishi maisha ya upweke”.
Hatton alipokonywa kibali cha ndondi mwaka wa 2010 baada ya kukiri kutumia mihadarati aina ya ‘Cocaine’.
Aidha, ameshinda mapigano 21 yakiwemo kumcharaza bingwa wa dunia wa light-welterweight Kostya Tszyu mjini Manchester mwaka wa 2005 na kuondoka na taji la IBF.
Mwaka wa 2006 alitangazwa bingwa wa dunia wa WBA.
Hata hivyo alikomeshwa na Floyd Mayweather Jr mnamo mwezi Disemba 2007 na Manny Pacquiao mwezi Mei mwaka wa 2009.
Flomena
Kuna mengi yanayofaa kufanywa kuwasaidia mabondia, wengi wetu tanaathirika kwasababu huu mchezo mtu yuko pekee yake na unapostaafu, unaishi maisha ya upweke #meridianbettz
Theckla
Asante kwa taarifa
silvatira
inabidi sasa aendeleze vipaji vya mabondia zaid
Hope mwaikuka
Bondia hatar
Amiri Kayera
Mwamba champion atakumbukw kwa mengi
Franky
Duh kweli ngumu ni ngumutu…
devotha
asante sana kwa update
farida ahmadi
Hongera Sana Ricky hatton kwa kuacha historia nzuri ya ndondi
Isaya massawe
Alikua hatar sana
Omary lukumbi
Duu mzee wa ngumi jiwe maana wanapo staafu hawa wacheza masumbwi wanapa ugongwa wa akili muda flan
Sabrina
Maoni:jamaa alikua noma sana kwenye ngumi
Lydia Emmanuel Magoti
Duu safii mzee wangumi yupo vizuri yupo Kama ajastaafu kweli Anastairi pongez zake
Ernest
Masumbwi sio pouwa
Furahav
Ngumi nazo muda mwingine sio nzuri.
Sabrina
Maoni:Ni bondia mwenye rekodi nzuri sana
Zeiyana
Madawa ndiyo yamechangia kumtoa mchezoni.