Droo ya Robo fainali ya kombe la shirikisho la Azam Sports Federation Cup yafanyika leo na timu kubwa zapangiwa timu ndogo ndogo.
Michuano hii ya kombe la shirikisho la Azam limekuwa likitoa vipaji sana huku mshindi wa fainali hii akiwakilisha nchi kwenye kombe la shirikisho Afrika.
Licha ya timu kubwa kuwa zinacheza vizuri, mara nyingi timu ndogo zimekuwa zikitoa changamoto sana.
ROBO FAINALI
Simba vs Dodoma Jiji FC
Rhino Rangers vs Azam FC
Biashara United vs Namungo FC
Mwadui FC vs Yanga
NUSU FAINALI
Rhino Rengers/Azam FC vs Dodoma Jiji FC/Simba
Biashara United/Namungo FC vs Mwadui FC/Yanga
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.



Sarah
Habari njema
Magdalena
Mchuano utakuwa wa kibabe
Issa
Ni balaa
[email protected]
Michuano mikali
Mariam mtandama
Safi
aisha
Kazi ipo hapo
Lydia Emmanuel Magoti
Habari njema
Amiri Kayera
Njia nyeupe Simba fainal