Mechi Za Robo Fainali Ya ASFC 2021 Zajulikana

Droo ya Robo fainali ya kombe la shirikisho la Azam Sports Federation Cup yafanyika leo na timu kubwa zapangiwa timu ndogo ndogo.

Michuano hii ya kombe la shirikisho la Azam limekuwa likitoa vipaji sana huku mshindi wa fainali hii akiwakilisha nchi kwenye kombe la shirikisho Afrika.

Licha ya timu kubwa kuwa zinacheza vizuri, mara nyingi timu ndogo zimekuwa zikitoa changamoto sana.

ROBO FAINALI

Simba vs Dodoma Jiji FC

Rhino Rangers vs Azam FC

Biashara United vs Namungo FC

Mwadui FC vs Yanga

NUSU FAINALI

Rhino Rengers/Azam FC vs Dodoma Jiji FC/Simba

Biashara United/Namungo FC vs Mwadui FC/Yanga


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Habari njema

    Jibu

    Mchuano utakuwa wa kibabe

    Jibu

    Ni balaa

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Kazi ipo hapo

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Njia nyeupe Simba fainal

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.