Putellas Wina Mchezaji Bora wa FIFA kwa Wanawake, Huku Wiegman Akitunukiwa Tuzo ya Kocha Bora
FIFA

Alexia Putellas ametawazwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA kwa Wanawake huku, akiwanyima wawakilishi wa kike wa Uingereza kung’ara katika sherehe za hapo jana.   Sarina Wiegman na Mary Earps hapo …

Soma zaidi
Messi Awapiku Mbappe na Benzema Kwenye Tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA kwa Wanaume
FIFA

Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain na Argentina Lionel Messi ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA kwa Wanaume kwa mara ya pili.   Messi alipata ushindani kutoka kwa mchezaji mwenzake Kylian …

Soma zaidi
Messi, Scaloni na Martinez Wapata Ushindi Mnono wa Argentina Katika Tuzo za FIFA
FIFA

Lionel Messi, Lionel Scaloni na Emiliano Martinez wameng’ara hapo jana kwa Argentina katika hafla ya Tuzo Bora za FIFA huko Paris.   Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain Messi alitawazwa kuwa mchezaji …

Soma zaidi
Weghorst: “United Bado Ina Njaa ya Mataji”
FA Cup

Wout Weghorst amesema Manchester United ina njaa ya kupata zaidi na inalenga mara nne baada ya kunyanyua Kombe la EFL.   Mashetani Wekundu waliichapa Newcastle United 2-0 kwenye uwanja wa …

Soma zaidi
Lewandowski Kuikosa El Clasico Kutokana na Jeraha la Misuli ya Paja
Copa del Rey

Robert Lewandowski ataikosa mechi ya nusu fainali ya kwanza ya Copa de Rey ya Barcelona dhidi ya Real Madrid Alhamisi kutokana na jeraha la misuli ya paja.   Barca leo …

Soma zaidi
Galtier Amshukuru Mbappe Ambaye Ameweka Rekodi Baada ya Ushindi
Ligue 1

Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier amemsifu Kylian Mbappe kwa uchezaji wake mzuri wa kuwa mfungaji bora wa pamoja wa Paris Saint-Germain katika ushindi wa 3-0 hapo jana dhidi ya …

Soma zaidi
PSG Wanajiandaa Kumnunua Salah Majira ya Kiangazi
Daily News

Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, huenda akaondoka kwenye klabu hiyo na kwenda PSG msimu huu ikiwa watashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa.   The Reds kwa sasa wako pointi tisa …

Soma zaidi
Singida Big Stars Kuumana Dhidi ya Mtibwa Sugar Leo
SOKA LA BONGO

Ligi kuu ya NBC kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo timu ya Singida Big Stars itakuwa nyumbani kwake kumenyana dhidi ya Mtibwa Sugar majira ya saa 10:00 jioni.   …

Soma zaidi
Namungo Yailaza Geita Gold ya Minziro
SOKA LA BONGO

Klabu ya Namungo FC kutoka mkoani Lindi, imeicharaza Geita Gold ya Minziro mabao 2-1 kwenye mchezo ambao ulipigwa hapo jana majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Majaliwa.   …

Soma zaidi
Yanga Yachukua Pointi 1 Mali
SOKA LA BONGO

Klabu ya Yanga imeshindwa kuchukua pointi 3 na kuchukua moja pekee kwenye mchezo wa jana huko Mali ambapo walikuwa wakimenyana dhidi ya Real Bamako.   Yanga walitangulia kupachika bao kupitia …

Soma zaidi
1 2 3 584 585 586 587 588 589 590 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.