Manchester United Bingwa Carabao Cup
Carabao Cup

Klabu ya Manchester United imefanikiwa kutwaa taji la michuano ya Carabao Cup baada ya kufanikiwa kuifunga klabu ya Newcastle United kwa jumla mabao mawili kwa bila katika mchezo uliopigwa katika …

Soma zaidi
Yanga Yapata Sare dhidi ya Bamako
SOKA LA BONGO

Klabu ya Yanga imefanikiwa kupata alama moja ugenini katika mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya klabu ya Real Bamako ya nchini kwa matokeo ya bao moja kwa …

Soma zaidi
Conte Kurejea Tottenham Wiki Ijayo
Daily News

Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Antonio Conte atarejea kwenye majukumu yake ndani ya klabu hiyo wiki ijayo mazungumzo hayo ameyatoa kocha wa muda klabuni hapo Cristian Stellini. Kocha Conte …

Soma zaidi
Potter: Mimi Ndio Natakiwa Kuwajibika
Daily News

Kocha wa klabu ya Chelsea Graham Potter amesema matokeo mabovu ambayo klabu ya Chelsea inaendelea kuyapata kwasasa yeye ndio anatakiwa kuwajibika na sio wachezaji wake. Kocha Potter wakati anazungumza na …

Soma zaidi
Tottenham Yafuta Uteja kwa Chelsea Yaipasua Mbili Bila
Daily News

Klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kufuta uteja kwa klabu ya Chelsea baada ya kuinyuka kwa mabao mawili kwa bila katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza uliopigwa katika dimba la …

Soma zaidi
Inter Milan Yapigwa Huko Serie A
Serie A

Klabu ya Inter Milan imepoteza mchezo leo katika ligi kuu ya Italia Serie baada ya kukubali kichapo cha bao moja kwa bila dhidi ya klabu ya Bologna iliyokua nyumbani katika …

Soma zaidi
Yanga Kuisaka Rekodi Leo Mali
SOKA LA BONGO

Klabu ya Yanga itakua ikisaka rekodi leo nchini Mali katika mchezo wake wa tatu wa hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika wakicheza na klabu ya Real Bamako kutoka …

Soma zaidi
Simeone Asikitishwa na Upendeleo wa Waamuzi Kwenye Mchezo wa Jana
La Liga

Diego Simeone anaamini kuwa Real Madrid wanapokea upendeleo kutoka kwa waamuzi baada ya Angel Correa wa Atletico Madrid kutolewa kwa kadi nyekundu wakati wa mchezo wao wa Dabi.   Mechi …

Soma zaidi
Rashford: Amshukuru Ten Hag
Daily News

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Marcus Rashford ambaye amekua na kiwango bora sana kwasasa amemshukuru kocha wa klabu hiyo Erik Ten Hag kwa namna alivyomsaidia kua vizuri. Marcus Rashford …

Soma zaidi
Ten Hag: Uchambuzi wa Malijendi wa United Unaathiri Wachezaji
Daily News

Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema uchambuzi unaofanywa na malijendi wa zamani wa klabu hiyo kwenye vitu mbalimbali vya habari unaathiri wachezaji wake. Kuna wachezaji mbalimbali …

Soma zaidi
1 2 3 585 586 587 588 589 590 591 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.