Kuifunga Azam FC ni Milioni 10

Klabu ya Tanzania Prisons imeahidiwa Kiasi cha Shilingi milioni 10 kama wataifunga Azam Fc leo katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya na kama wakipata sare milioni 5.

 

Kuifunga Azam FC ni Milioni 10

Ahadi hiyo imetolewa na wadhamini wao ambao ni kampuni ya usafirishaji baharini Silent Ocean Ltd. Kwenye mechi ya Simba SC waliahidiwa milioni 20.

 

Kuifunga Azam FC ni Milioni 10

Tanzania Prisons wanacheza mchezo wao mwingine wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wao uliopita wa ligi kuu dhidi ya Simba kwa bao moja, goli likifungwa na Jonas Mkude dakika za lala salama.

 

Kuifunga Azam FC ni Milioni 10

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.