Arteta: Nketiah Anaweza Kusalia Arsenal

Makala iliyopita
Simba Mshindi wa Ttau NgaoMakala ijayo
Milan Yamgeukia Armando Broja
Kumekua na ripoti kadhaa kua mshambuliaji Nketiah amekubaliana maslahi binafsi na klabu ya Olympique Marseille ya kule nchini Ufaransa, Lakini kutokana na kauli ya kocha wa Arsenal aliyoitoa leo ni wazi kua kuna uwezekano mshmbuliaji huyo wa kimataifa wa Uingereza akasalia ndani ya viunga vya Emirates.