Mtoto wa Nyota wa mpira ulimwenguni, Cristiano Jr atamani kuja kucheza na baba yake siku moja.
Cristiano Ronaldo mwenyewe amethibitisha hilo
“Baba endelea kucheza kwa miaka michache ijayo,nataka kuja kucheza na wewe siku moja najua ni ngumu ila nitafanikisha” – Cristiano Ronaldo
Ronaldo amesema mara nyingi mwanae huyo (Cristiano Jr) humsisitiza kutofikiria kuacha mpira mpaka ndoto yake hio itakapotimia.
Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.