RB Leipzig wametoa kitita kinachoripotiwa kufika €19m kwa Dinamo Zagreb ili kumnasa beki Josko Gvardiol na huenda wanaandaa mazingira maisha bila Dayot Upamecano. Gvardiol mwenye umri wa miaka 18, alikuwa …
Makala nyingine
Kocha wa zamani wa Huddersfield, David Wagner ametimuliwa na Schalke 04 baada ya kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) kupoteza mechi mbili za kwanza za msimu huu wa …
Matarajio juu ya Erling Haaland katika timu ya Dortmund ni makubwa kuliko yale ya Robert Lewandowski kipindi alipojiunga na klabu hiyo, hii ni kwa mujibu wa nahodha wa zamani wa …
Erling Haaland alichagua kujiunga na Dortmund na siyo RB Leipzig kwa sababu hakuhakikishiwa muda zaidi wa kucheza, hii ni kwa mujibu wa kiongozi wa michezo wa klabu ya Leipzig. Mshambuliaji …
Borussia Dortmund waliduwazwa na FC Augsburg kwa kichapo cha 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) iliyohudhuriwa na takriban mashabiki 6,000 uwanjani WWK Arena mnamo Septemba 26, 2020. …
Thiago Alcantara ataipeleka Liverpool katika “Levo nyingine” ikiwa Jurgen Klopp anajenga utawala hapo Anfield. Hayo yalikuwa ni maono ya mchezaji mwenzake wa Liverpool Sadio Mane, ambaye amefurahia kuona Alcantara akihama …
Bayern Munich wamekuwa na msimu mzuri 2020 baada ya kubeba makombe 4 ndani ya mwaka mmoja. Baada ya kubeba taji la Bundesliga, UEFA na Kombe la ligi. Bayern Munich wameibuka …
Jadon Sancho anaweza akaondoka Dortmund kwaajili ya kutafuta changamoto mpya lakini haitakuwa katika dirisha hili la uhamisho, kiongozi Sebastian Kehl arudia tena kusema. Sancho amekuwa katika uvumi mkubwa wa kujiunga …
Lionel Messi ataongoza kikosi cha watu 30 cha timu ya taifa ya Argentina katika kutafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Ecuador na Bolivia mwezi ujao. Michezo ya …
Msimu mpya wa Bundesliga umeanza kwa namna yake. Schalke hawajawa na bahati, wakati Bayern Munich wakianza kwa kuwika katika uwanja uliokosa mashabiki! Bingwa mtetezi Bayern Munich amempa kichapo cha aibu …
Jadon Sancho ana viwango vyote kuja kuwa mchezaji mzuri kama Christiano Ronaldo, hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake wa Dortmund Raphael Guerreiro. Muingereza huyo wa kimataifa Sancho amejipatia umaarufu …
Miamba ya Ujerumani Bayern wanampango wa kubeba Bundesliga mara ya tisa mfululizo kwa msimu 2020-21 na usiku wa leo watawakaribisha Schalke katika dimba la Allianz Arena. Mabingwa hao wa Ulaya …
Kiungo wa zamani wa Barcelona Bernd Schuster amesema anaweza akaona timu hiyo ikipambana kushinda taji la LaLiga msimu huu 2020-21 lakini kwa nafasi ndogo. Barca walimaliza msimu 2019-20 bila kushinda …
Thomas Tuchel amepata maswali juu ya hatima ya timu ya Paris Saint Germain baada ya kupokea vichapo viwili mfululizo kutoka kwa Lens na Marseille tangu waanze mbio za kutetea ubingwa …
Klabu ya Sevilla inayoshiriki ligi kuu ya nchini Hispania LaLiga wamemaliza usajili wa beki wa kushoto Marcos Acuna kutoka klabu ya Sporting CP, akiwa kama mbadala wa Sergio Reguilon. Reguilon …
Manchester United itawabidi wasubiri mpaka makocha Jurgen Klopp na Pep Guardiola wa Manchester City na Liverpool waondoke ili waweze kushinda tena taji la Premier League,hii ni kwa mujibu wa Gary …
Lucas Hernandez hafikirii kuondoka katika klabu ya Bayern Munich wakati huu wa dirisha la usajili lakini amesema ajifikiria tena kama hali itaendelea kuwa hivi msimu huu. Mchezaji huyo wa Ufaransa …
Kocha mkuu wa Atletico Madrid Diego Simeone amepima na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona, klabu hiyo ya LaLiga imethibitisha. Kikosi kizima cha Atletico Madrid na benchi la ufundi …
UNAKUBALI KUWA ASILI YA SOKA NI CHINA? Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi Kufika sasa ni dhahiri kuwa China ilikuwa na vilabu vya soka, sheria, na …
Hatimaye Antoine Griezmann amepata jezi yenye namba saba aliyokuwa ikiitaka tangu siku ya kwanza atue Barcelona mwezi Julai mwaka 2019,namba iliyokuwa ikimilikiwa na Philippe Coutinho, kabla alikuwa akivaa jezi namba …

