Hatimaye Antoine Griezmann amepata jezi yenye namba saba aliyokuwa ikiitaka tangu siku ya kwanza atue Barcelona mwezi Julai mwaka 2019,namba iliyokuwa ikimilikiwa na Philippe Coutinho, kabla alikuwa akivaa jezi namba 17.
Mchezaji huyo wa zamani wa Atletico Madrid aliipuuza namba aliyopewa pindi alipofika Camp Nou na ameeleza kuwa kupata namba saba kwake ni “Heshima”.
Lakini Coutinho aliyerejea Barca baada ya kutumia msimu mzima katika klabu ya Bayern Munich kwa mkopo na kufanikiwa kushinda mataji matatu, ameacha viulizo katika vichwa vya watu wengi kama ataendelea kusalia Barca au atasepa klabuni hapo.

Katika mtandao wa Instagram Griezmann aliandika: “Ni heshima kuvaa namba 7 nikiwa Barca!”
Aliongeza: “Ningependa kumshukuru Coutinho, ambaye ni mchezaji mkubwa na rafiki yangu kwa kumpokea namba hii.”
Mabadliko hayo yalitangazwa na Barcelona katika mitandao yao ya kijamii ikiwa ni video ambayo ilimshirikisha nyota wa NBA kutoka Brooklyn Nets, Kevin Durant aliyefungua boksi lililokuwa na jezi ya Barcelona namba 7 yenye jina la Griezmann.
Griezmann alifunga magoli 15 katika michezo 41 msimu uliyopita akiwa na Barcelona lakini alikumbwa na ukosoaji baada ya kutokua na kiwango kizuri tofauti na ilivyo kuwa ikitarajiwa.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Sauda
Safi tu kwani anajua kuitendea haki
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana ndio haipendayo yeye Grizmann
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
Fatina
Hongera yake kupta akipendacho!
Adelta
Ni Vizuri sana kupata kitu unachokipenda@meridianbettz
Dorophina
Ndio pa kuitendea haki jezi Antoine kama mwenyewe alivyokuwa
Elika
Apate akipendacho safi sana
Sadick
Wachezaji wengi wana amini katika namba ya bahati kama vile Michael Jordan 23, CR7 na Messi 10#meridianbettz
warda
Namba ya bahati ni namba saba rahisi sana kupata umaarufu#Meridianbettz
JULIANA WILBARD ALEX
Safi
marry
yuko vzr azid kupmbna
Amiri Kayera
Mwenye namb yake kaichukua good
Tatu
Namba yenye bahati wachezaji wengi wanaitaji
Antony Luseno
Hope ataitendea kazi vyema
Shafii
Jezi namba Saba hua inavaliwa na mafundi wa mpira matumaini yangu ataitendea haki.
Ernest
Griezmann Apewe nini tena??!! Wakati wake sasa
Samiah
Yupo vzr Grizman
Furahav
Sio kuvaa jezi tu,aoneshe kiwango kizuri.
aisha
Safi sana ameitendea haki
Gabriel
Aitendee haki hiyo jez
Nasra
Safii
lombo
nice
Magdalena
Safi sana kijana kapige mpira
Neema
Vizuri sana
Issa
Safi san na aitendee haki jez hiyo afanye mara 3 zaid ya alivyokuw atletico
Khadija
wakati wake sasa tumuache#meridianbettz
Janeflora malisa
Good
Saupha mohamed
Jamaa anajua aitendee haki iyo jezi
Mwajumah
Sio kuvaa jezi tu ajue na kuitendea haki uwanjan#Meridianbettz
Caroline
Hongera
felister
huu ndo wakati wako sasa
Povel
Gud sisi mashabik tunatak haitendeh haki namb #7
Theckla
Ameitendea haki
Rehema
Safi
Sabrina
Inapendeza kupata kipenda roho
Latifa juma mohamed
Waoohh.
Tahiya
Safi