Paris Saint-Germain wamefanikiwa kumsaini mchezaji Alessandro Florenzi kutoka klabu ya Roma kwa mkopo kukiwa na kipengele cha kumnunua moja kwa moja.
Mchezaji huyo aliyecheza mechi 36 katika timu ya taifa amekuzwa katika akademi ya Roma na alianza kucheza timu ya wakubwa mwaka 2011 akiwa kama kiungo, amecheza michezo 280 katika timu hiyo ya Serie A.
Alitajwa kuwa nahodha mwaka 2019 lakini alitumia nusu ya msimu akiwa na Valencia kwa mkopo na alicheza michezo 14 katika mashindano yote.
Bosi wa PSG Thomas Tuchel alithibitisha siku ya Jumatano kwamba alikuwa sokoni kutafuta beki mpya wa kulia na dili sasa imekamilika na klabu ya Roma.

Mabingwa hao Ufaransa, ambao pia walikuwa wakihusishwa na kumsajili beki wa Arsenal Hector Bellerin, walimtangaza Florenzi kutua PSG katika tovuti yao rasmi siku ya Ijumaa.
“Ninajivunia na ninafuraha kuwa mchezahi wa Paris Saint-Germain,” alisema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29.
“Ni moja ya klabu kubwa sana barani Ulaya, walithibitisha hilo mwezi uliyopita katika fainali ya Champions League ingawa hawakufanikiwa kushinda.
PSG wameanza msimu mpya wa Ligue 1 na waliwakosa wachezaji wao muhimu saba kutokana na kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona na kupoteza kwa 1-0 dhidi ya Lenz siku ya Alhamisi.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Elika
Vizur
Sauda
Fresh tu..
warda
Mdogo mdogo PSG itakaa poa#Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana Paris kumsajiri kiungo
JULIANA WILBARD ALEX
Safi
Adelta
Vizuri sana@meridianbettz
Amiri Kayera
Ni usajir mzur wenye tija
Sadick
PSG imepoteza wachezaji muhimu walioondoka kama vile Thiago Silva na Cavani #meridianbettz
Dorophina
PSG wapo vizuri kwa usajili saiz maana wanasajili wachezaji wazuri
Tatu
PSG wapo makini
Antony Luseno
Kajiunga na klabu nzuri ambayo ufaransa ndo wababe wa ligue 1
Shafii
Deal done.
Fatina mfigi
PSG wapo vizur kwa usajili uwo!
Ernest
Usajiri mzuri kwa PSG
Samiah
Psg wamefanya usajili mzuri
Furahav
Vizuri
aisha
Ni usajili mzuri wenye kuleta mafanikio kwenye kikosi chao
Gabriel
Usajili mzuri sana 👍
Nasra
Psg awajakosea
lombo
habar njema
Leonard
Karibu psg
Magdalena
Psg wamesajili mtu makini sana
Issa
Florenze ataleta upinzan safu ya viungo na inabid apigan kupata namba aabab kuna watu kama herrera na verati
Neema
Habariii njema
Khadija
Usajiri mzuri kwa PSG#meridianbettz
Janeflora malisa
Nice
Saupha mohamed
Habari njema
Mwajumah
Vizuri sana
Caroline
Hongera zao
felister
usajili mzuri kwa psg
Povel
Gud news
Theckla
Usajili mzuri kwa psg
Rehema
Vizuri
Sabrina
Huo ni usajili mzuri
Latifa juma mohamed
Vizuri Sana Paris kumsajiri kiungo