Man United Watashinda EPL Klopp na Guardiola Wakisepa.

Manchester United itawabidi wasubiri mpaka makocha Jurgen Klopp na Pep Guardiola wa Manchester City na Liverpool waondoke ili waweze kushinda tena taji la Premier League,hii ni kwa mujibu wa Gary Neville.

Man United wanaukame wa kombe la Premier League tangu Sir Alex Ferguson alipofanya hivyo mwaka 2012-13 na wamefanikiwa kufika nafasi ya pili mara moja pekee.

Licha ya kufanya vyema katika mzunguko wa pili wa msimu uliyopita wa ligi kuu ya Uingereza, timu hiyo iliyo chini ya kocha Ole Gunnar Solskjaer ilimaliza nafasi ya tatu alama 33 nyuma ya mabingwa wa EPL 2019-20, Liverpool ambao pia walimaliza ukame uliyo dumu miaka 30 na point 15 nyuma ya Man City ambao walinyang’anywa ubingwa huo na Liverpool.

Man United Watashinda EPL Klopp na Guardiola Wasepe.
Klopp na Guardiola

Klopp alimaliza ukame wa miaka 30 ya kusubiri kunyanyua kombe hilo na tayari Liverpool wameuanza msimu mpya vizuri kwa kuwafunga Leeds waliyopanda daraja msimu huu goli 4-3.

         Anacho kiamini Gary Neville Kuhusu Man United Kushinda EPL tena.

Beki wa zamani wa upande wa Kulia wa United Neville amesema kwa kujiamini kwamba Manchester United wataongeza rekodi ya 21 ya kutwaa taji la Premier League lakini watafanya hivyo kama Makocha wa Anfield na Etihad Stadium wakiondoka.

“Kitu Kimoja nakuhakikishia Man United watashinda tena,” aliiambia The Mirror.

“Hilo linaweza lisitokee mwaka huu wala mwaka ujao, lakini itaku vizuri sana kama wakishinda tena EPL, na hakika hata Chelsea wanafikiria kama ninavyo fikiria itachukua muda kidogo kumaliza utawala wa Guardiola na Klopp.

Man United Watashinda EPL Klopp na Guardiola Wakisepa.

Man United wamekuwa katika tetesi kubwa za kumsaini kiungo wa Borussia Dortmund Jadon Sancho katika madirisha yote ya usajili lakini Neville ameshauri kama Man United wana nia ya kushinda ubingwa wanahitaji kufanya usajili wa wachezaji wengi.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

42 Komentara

    Sio kwer wao msim huu watafany vibaya

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Man u wamekuwa wabovu sana EPL msimu huu

    Jibu

    Utani huo ubingwa tutachukua

    Jibu

    Wakijipanga vema watachukua

    Jibu

    Asante kwa nakala#meridianbettz

    Jibu

    Waongezee juhudi tuu watafanikiwa

    Jibu

    Ahsante kwa makala nzur

    Jibu

    Ni ukwwl man inatakiwa ipambane irudishe makali yake

    Jibu

    Sidhan Kama ni kwel

    Jibu

    Makala mazur

    Jibu

    Mhh Huo ni mtazamo wake

    Jibu

    mhhb hapana msimu man united tumejipanga vizuri

    Jibu

    Man u tujipange

    Jibu

    Wazidishe juudi

    Jibu

    Man u wamekuwa wabovu sana EPL msimu huu

    Jibu

    Makala manzuri

    Jibu

    Naamini man u msimu huu watajipanga vizuri sana kuucheza vizuri msimu huu wa Epl wanaweza wakabeba kombe cha msingi ni kujipanga vizuri

    Jibu

    Waongeze bidii

    Jibu

    Jambo njema na jitihada pia muhimu kwao akun kinachoshindikan

    Jibu

    Bado man u wana nafasi kubwa tu yakujipanga na kurudi kama zamani

    Jibu

    Wajipange tu watachukua

    Jibu

    Kilakitu mipango Man U hawashindwi kuchukua EPl wakikaza lazima wakiwashe

    Jibu

    Sio kweli

    Jibu

    Man u msimu huu wamezingua sana

    Jibu

    united wakijipanga vya kutosha ubingwa wanachukua sana waache moyo wa uoga na kutishika wafanye juhudi za kutosha

    Jibu

    Waongezee juhudii zaidii

    Jibu

    Hilo linaweza lisitokee mwaka huu wala mwaka ujao, lakini itaku vizuri sana kama wakishinda tena EPL, na hakika hata Chelsea wanafikiria kama ninavyo fikiria itachukua muda kidogo kumaliza utawala wa Guardiola na Klopp.#meridian

    Jibu

    Wakijipanga vyema watafanikiwa

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Kwa upinzani unajionyesha Uingereza sidhani kama Pep na Klopp wanaweza kutawala miaka nenda miaka rudi bila kutokuwa na mapinduzi ndani ya Uingereza, Ni wakati ambao machopa wachanga na Chipukizi watakuja kufanya mapinduzi makubwa sana ndani ya EPL

    Jibu

    Maoni yake mkongwe neville natumain Kama watecheza kwa kujitumah wachezaj na club kufany usajil sehem zenye mapunguf natumain Taj wanawez chukuwah la Epl

    Jibu

    Wakijitahidi wataweza Manchester United

    Jibu

    Wakijipanga vyema watachukua

    Jibu

    Waongeze bidii

    Jibu

    Jipangeni upya

    Jibu

    Sio kweli

    Jibu

    Sio kweli

    Jibu

    Garnevo ana matani ya ngumi

    Jibu

    wakijipanga wataweza

    Jibu

    Naamini man u msimu huu watajipanga vizuri sana kuucheza vizuri msimu huu wa Epl wanaweza wakabeba kombe cha msingi ni kujipanga vizuri

    Jibu

    Mkongwe kaongea ukweri mtupu kbs

    Jibu

Acha ujumbe