Makala nyingine

Patrick Vieira ametimuliwa na timu ya Ligue 1, Nice kufuatia kupoteza mechi tano katika msimu 2020-21. Kocha huyo wa miaka 44 alikuwa akisimamia Nice tangu Juni 2018, kazi yake ya …

Mshambuliaji wa Dortmund, Erling Haaland anatarajia kurejea mapema dimbani baada ya kupata taarifa njema juu ya jeraha lake. Wasi wasi ulikuwa nyota huyu angekawia kurejea dimbani, na alitemwa kwenye kikosi …

Kocha wa Bayern Munich Hansi Flick anataka kuona mengi kutoka kwa mchezaji Leroy Sane lakini amesema mshambuliaji huyo anahitaji muda. Tangu ajiunge na Bayern akitokea Manchester City kwa dau linaloripotiwa …

Nyota Borussia Dortmund Erling Haaland ametuzwa tuzo ya Golden Boy mwaka 2020 Tuzo hutolewa na gazeti la nchini Italia Tuttosport na mwaka uliyopita ilichukuliwa na nyota wa Atletico Madrid Joao …

Mchezaji wa Borussia Dortmund – Giovanni Reyna, amesaini kandarasi mpya itakayombakiza klabuni hapo mpaka 2025. Ikiwa ni wiki 1 imepita tangu alipotimiza miaka 18 na kupata nafasi ya kuitumikia timu …

Nyota wa Real Betis Marc Bartra anaamini elimu aliyo ipata Bundesliga ilimsaidia kupeleka soka lake katika kiwango kikubwa. Bartra mwenye umri wa miaka 29, alijifunza biashara yake alikuwa katika akademi …

Ujerumani Itarudi Tena

Walikuwa juu sana kwenye soka la dunia 1996 wanabeba EURO pale Wembley kwa kumfunga Jamhuri ya Czech, kisha 1997 Borussia Dortmund anaenda kubeba UEFA, 2002 wanacheza fainali kombe la dunia …

Kila kukicha, ulimwengu wa soka unakumbwa na habari mbalimbali – zipo za kufurahisha, kusikitisha, kushtusha na zingine zinashangaza. Jerome Boateng ashangazwa na tetesi za kuondoka Bayern Munich. Licha ya kwamba …

1 2 3 15 16 17 18 19 20 21 33 34 35
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.