Aliyekuwa nyota wa Real Madrid, Gareth Bale ambaye sasa yupo klabu ya Tottenham, amesema kuwa hana majuto yeyote kwa mda wake alioutumia kule Real Madrid.
Bale anatarajia kuendeleza jitihada zake kwenye soka katika klabu yake aliyorejea baada ya kuondoka miaka 7 iliyopita kwa dau la kuvunja rekodi kwa wakati wake. Amerejea Spurs kwa mkopo akisanishwa mkataba wa mwaka mmoja.

Moja ya sababu ambayo inayohusishwa kusababisha Real Madrid kutokuwa na mipango na Bale kwa msimu huu ni kutokana na kuzorota kwa uhusiano wake na meneja Zinedine Zidane, japokuwa hili halitajwi sana, lakini limeathiri mipango ya Zidane juu ya Bale ambaye amekuwa akiwekwa benchi kwa mda mwingi kabla ya kumalizika kwa msimu uliopita.
Gareth Bale
“Hakuna ninachojutia kwa yale niliyoyafanya, haijalishi chochote kilichosemwa na yeyote yule. Hiyoi ni juu yao.Ninafahamu mtazamo wangu juu yangu na familia yangu inanifahamu vyema. Hayo pekee ndiyo ninayojali” –
Nyota huyu mwenye miaka 31, ambaye amecheza mechi 20 kwa msimu uliopita na Real Madrid, anatazamia kufanya makubwa EPL akiwa na Spurs.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Sabrina
Safi sana piga kazi piga kazi hadi madrid wajute
aisha
Bale yunashukuru sana mashabiki wako kusikia hivyo piga kazi ili ukamilishe ndoto zako
Hopemwaikuka
Guuud
Issa
Bale yupo nyumbani
Zahara omary
Good
Flomena
Yuko vizuri
Mwajumah
Bale yupo nyumban
Tumaini kasalile
Hakika hakuna cha kujutia Piga mzigo
Fatina
Safii
felister
piga kazi bale
Nasra
Nice
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli mzee baba Bale anachokiongea kipo sahii
Caroline
Bale tunategemea makubwa kwako ukiwa spurs.uko uko.
Adelta
Yuko vizuri
Saupha mohamed
Bale namwaminia sana
Tatu
Madrid watamkumbuka bale kwa mchango wake kwani ameweka timu kwenye nafasi nzuri kwahyo atajuta huko aliko zaidi ya kusonga membe
Gabriel
Bale karud nyumbani
Shani
Bale amerud nyumban lazima atambe
Elika
Bale Yuko vizur
Amiri Kayera
Professional player
Fatuma kasomo
Yuko vizuri
Janeflora malisa
Good
Samiah
Gud
Neema
Yupo vzr
Latifa juma mohamed
Natumai real Madrid wataendelea kumkumbuka Bale kutokana na mchango mkubwa.
David Pere
Bale yunashukuru sana mashabiki wako kusikia hivyo piga kazi ili ukamilishe ndoto zako
Sauda
Piga kaz kijana
Ernest
Bale anakazi ya kudhihirisha tena kuwa yeye ndio King wa White Hart Lane akiwa na Mourinho
Rehema
Kijana Yuko vizuri sana
Rose kapinga
Piga kandanda mashabiki tunakuelewa!!
Hidaya
Kijana yupo makini na kazi yake
Theckla
Bale ni mchezaji mzuri sana
Khadija
Good
Mnongane JR
Bale is back EPL#meridianbettz#
Janeflora malisa
Nice
magdalena
bale ataki kabisa utani anapamban ili uwezo wake kimpira usishuke aswa akiwa nyumbani
Povel
Welcome bale white hart Stadium
Dorophina
Bale kiwango kingine yupo fiti karibu hm kijana
Salma ngende
Ni mchezaji mzuri