N’Golo Kante amerejea mazoezini Chelsea na ameruhusiwa kufanya mazoezi peke yake kwa hofu ya Corona.
Kiungo wa Ufaransa, 29, hakuhudhuria mazoezi ya klabu ya mwanzo mmano Mei 19 lakini aliamua kufanya mazoezi nyumbani, maamuzi hayu yaliungwa mkono na Chelsea.
kante kwasasa amejiunga na mazoezi binafsi kwenye uwanja wa mazoezi wa klabu wa Cobham.
Kante aliwahi kuzua taharuki miongoni mwa wachezaji wenzake mwak 2018 baada ya kuzimia wakati wa mazoezi. Kaka yake alifariki kwa mshtuko wa moyo mwaka huohuo.
Vilabu vya Premier League vimeanza hatua ya pili ya mazoezi, ambayo inaruhusu kugusana. Na Alhamisi Premier League imesema inaweza kurejesha mechi zake Juni 17.
Magdalena
Inapendeza Sana Kanye kurejea mazoezini
Antony Luseno
Karibu dimbani #meridianbettz
Hamidu
Habari nzuri kwa mashabiki wa Chelsea
Kiungo mkata umeme amerudi.# meridianbettz
Theonestina
Daaah hamjawai kutuficha kitu jamani
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema kwa mashabiki wa mpira
Caroline
Corona iishe tu
Frank Patrick
kama familia inahistoria hiyo basi kwa hali ya sasa inamfaa kufanya mazoezi kwa kiwangu kisichozidi
Ester mmakasa
Safi sana kwa uongozi wake kwa kumkubalia aanze mazoezi peke ake.
Theonestina
Karibu
Khadija
Habari nzuri kwa mashabiki#meridianbettz
Juliana
Kweli corona ni janga ladunia.maana sisi kwa sisi tunaogopana
Warda
Woyoooooo tar. 17 si mbali #Meridianbettz
Kenani
Sio mbaya
Shafii
Namkubali Sana ngolo
Lombo
duuuh
Adelta
Good news 👍
Salma
Ni habari nzuri kwa mashabiki
David pere
Ni vizuri asikurupuke kufanya mazozi
Samiah
Nihabari njema kwa mashabiki
Ernest
Ngolo mkata umeme kashatia timuuuuuuuuuu!!!!!!
winfrida
ni vema kwa usalama wa wengine
Neema juma
Hatukuyajua hayo mko vzr kwa taarifa
Mwanaidi
Safi sana hata kama ni kwa mashart lkn amerudi
Hope mwaikuka
Nawapenda iki tu meridian
Elika
Ngolo kante Yuko vizur sana..me namkubali
Amani
Kiungo mkata shombo ngolo kante
Theckla
Namkubali Sana kante
Rehema Dickson
Kiungo mwenye viwango vyake ameridi
Gabriel
Duuuh! Anastahil kufanya hvyo uwez jua matatizo ya mtu
Lydia Emmanuel Magoti
Karibu dimbani Asantee meridian
Rehema
Ngolo Yuko vizuri sn
Evaluziga
Namkubali Sana ngolo
Zeiyana
Ngolo yupo vizuri
felister
good news
dorophina
Ni habari nzuri kwa mashabiki
Sadick
Ngolo anaelekea kuishinda hofu#meridianbettz
aisha
😀😀😀😀😀😀😀ngolo kante hatarii sana karibu
Hidaya Mohammed
Yupo vizuri anajua anachokifanya
mwakalosi
ni habari njema kwa chelsea na matumain kuwa anaweza kuwepo kikosin
Hidaya Mohammed
Bora arejee ligi iyanze
Furahav
Bora arudi kiungo mkabaji.
Ester jackson
Safi sana hata kwa mashart ila amerud
Aziza mushi
Inapendeza Sana Kanye kurejea
Devotha
Pole sana ila kila kitu kutakua sawa na utafanya mazoezi pamoja na wenzako
Mwajuma
Habari njema kwa wana Chelsea
Mwanahamisi
Sio mbaya
Povel
Ni habar njema kwa wapenzi was Chelsea
Emmy cleopa
Ngolo yuko vizur sana
Mariam mtandama
Yupo vizur