Mkataba wa Willian Mazungumzo Yanaendelea

Meneja Frank Lampard amezungumzia Hatma ya mkataba wa Willian. Meneja huyu amesema kuwa Chelsea bado wanahitaji huduma ya staa huyu kwa msimu ujao, wakati kikosi kikiwa kinaendelea kuzingatia maandalizi ya gemu zilizosalia.

Kwa mujibu wa Lampard, mazungumzo juu ya mkataba wa Willian bado yanaendelea. Nyota huyu Mbrazili mwenye miaka 31 alikubali mkataba wa mda mfupi ili kumalizia kampeni ya msimu huu.

Licha ya meneja kuwa na wasi wasi juu ya hatma ya makubaliano ya mkataba wake, anaamini Willian bado atakubali kusalia klabuni hapo kwa msimu ujao.

Hatma ya Mkataba wa Willian
MAzungumzo ya hatma ya mkataba wa Willian yakibuma, Lampard atalazimika kumtakia heri.

“Klabu bado inafanya naye mazungumzo. Tunataka asalie lakini naheshimu kuwa mkataba wake ni suala kubwa kutokana na umri wake.”

“Niliwahi kuwa huko mimi mwenyewe. Lakini kwa namna anavyocheza sasa anaonesha kuwa ana thamani kubwa kwa klabu. ”

Lampard amesisitiza kuwa kwa namna yeyote, angetamani kama kwa namna yeyote watafikia makubaliano ya kumbakiza. Amekuwa mtumishi mwema kwa timu yake, angependa aendelee kuwepo.

Kama klabu ikishindwa kufikia makubaliano yenye nafuu kwa pande zote mbili, Lampard atalazimika kumtakia heri Willian.

 


 

Furahia Kubashiri KENO na Meridianbet bonyeza HAPA CHEZA KENO USHINDE

46 Komentara

    Aongeze mkataba amalizie pita wake palepale Chelsea

    Jibu

    Naimani watafikia muafaka tu

    Jibu

    Good news 👍

    Jibu

    Willian anamapenzi sana na Chelsea sema kunakipindi Chelsea hawakutambua hili.

    Jibu

    Blues wanamhitaji sana William ni bonge la mchezaji

    Jibu

    Naamini watafikia muafaka

    Jibu

    Natumaini watafikia muhafaka#,meridianbett

    Jibu

    Uyo mtamkosa lazma atie maguu Man u.

    Jibu

    Haongeze mkataba amalizie game lake hapo Chelsea

    Jibu

    Habari njema kwetu#meridianbettz

    Jibu

    William aongeze tu mkataba hadi hapo atakapo staafu mana pia umri wake unakaribia akistaafu katika timu ya Chelsea itakuwa vizuri zaidi

    Jibu

    Good news 👍

    Jibu

    Kutokana na meneja wa willian anasema kuwa bado anahitajika basi ni bora abaki tuu asiende popote

    Jibu

    Bonge la mchezaji angeze mkataba

    Jibu

    Nipo pamoja na lampard haina hana Chelsea kumpoteza mchezaji kama William bado haumuhimu mkubwa sana pale clabu hukizingatia na mri wake bado hunadai sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Chelsea bado wanamuhitaji Willian

    Jibu

    Hii makala mzuri

    Jibu

    Aongezee mkataba amalizie pale pale Chelsea itakuwa poa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Nina Imani watafikiana muafaka

    Jibu

    Chelsea ina mpendeza sana William czani kama ata acha kuongeza mkataba…

    Jibu

    Chelsea wangemuongeze Huyo jamaa mkataba wake hata miaka mitatu licha ya umri kua unamtupa mkono ila bado uwezo anao atawasaidia sanaa

    Jibu

    Kiwango cha Willian siku za karibuni kinavutia timu kumuongezea mkataba ingawa alihitaji mkataba wa muda mrefu na sidhani kama Chelsea itakubali hilo#meridianbettz

    Jibu

    Ninaimani watafikiana muafaka

    Jibu

    Nimchezaji ambae bado anaitajika aongeze tu mkataba

    Jibu

    Lampard anatamaa sna mazungumzo ya nini sasa wakati hakumuitaji mshambuliaji huyo wa kibrazil

    Jibu

    Maoni:Aongeze yu mkataba hapo chelsea

    Jibu

    Lampard pigania kijana abaki apo apo asiende kokote

    Jibu

    Umri wake mkubwa lakini bado ni yupo fit na atawaidia Chelsea,nadhani Chelsea wangefuata matakwa anayotaka wamsainishe mkataba zaidi ya mwaka mmoja kama anavyotaka Willian

    Jibu

    Super Frank unania gani na EPL next season …maana hao watu wako sio mchezoo

    Jibu

    Gud update

    Jibu

    Asanteni kwa update

    Jibu

    Naiman watafikia pazur makubaliano

    Jibu

    Wiliam bado yuko vizuri,abaki tu hapo.

    Jibu

    Itakua jambo jema kama frank lampard atambakisha the blues mbrazil huyo maana a replace nafasi ya eden hazard kuisaidia Chelsea msimu ujao

    Jibu

    Wiliam yuko vzr abakitu hapo

    Jibu

    ni muda sasa wa kwenda kutengeneza pesa za mwisho kwenye soka

    Jibu

    Ni Mwendo Wa Mikataba Tu#Meridianbettz

    Jibu

    Yupo vizuri wakubaliane nae

    Jibu

    Duh

    Jibu

    Wacha tuone

    Jibu

    Nice update 👍

    Jibu

    Safi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.