Pedri Kuikosa Copa del Rey

Nyota wa Barcelona, Pedri atashindwa kuwa sehemu ya mechi ya Jumatano ya Copa del Rey kwenye hatua ya nusu fainali dhidi ya Sevilla.

Kinda huyu wa miaka 18, ambaye amekuwa sehemu ya msingi ya kikosi cha Koeman msimu huu alilazimika kutoka nje baada ya kupata jeraha kwenye mechi ya Laliga dhidi ya kikosi cha Julen Loptegui Jumamosi.

Nafasi ya Pedri ilichukuliwa na kinda mwenzake Ilaix Moriba kwenye dakika 71 zilizosalia, na Barcelona wamethibitisha kuwa kinda huyo hataweza kucheza tena mechi inayofuata kutokana na hali aliyonayo sasa.

Pedri Barcelona

Klabu haijabainisha mda rasmi ambao staa huyu hatapatikana uwanjani lakini wamethibitisha kuwa ataikosa mechi dhidi ya Sevilla Jumamosi.

Kiungo huyu anaungana na wenzake wengine kama Ansu Fati, Philippe Coutinho na Sergi Roberto ambao pia hawatashiriki mechi ijayo, hata hivyo kuna uwezekano kuwa akaimarika na kushiriki vyema kwenye mechi zilizozalia za Ligi ya Mabingwa Ulaya.


Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx

Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.

  CHEZA HAPA

9 Komentara

    Pedri pole sana

    Jibu

    Dogo majeraha yanamwandama sana

    Jibu

    Duu pole yake

    Jibu

    Get well soon Pedri

    Jibu

    Pole

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pengo barca

    Jibu

    Sorry for him

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.