Luis Suarez Kutimba Juventus

Nyota wa Barcelona Luis Suarez mbioni kutimkia kwa mabingwa wa Italia – Juventus.

Suareza anatarajia kutemana na Barcelona na kuondoka kama mchezaji huru ikiwa atafanikiwa kufanya makubaliano na Barcelona ili kusiwepo na ada yeyote ya uhamisho.

Nyota huyu bado ana mkataba wa mwaka mmoja na klabu ya Barcelona. Alisaini mkataba na Barcelona mwaka 2016, ambao ulikuwa na makubaliano kuwa staa huyu angeongezewa mda wa kusalia klabuni hapo ikiwa angecheza 60% ya mechi klabuni hapo.

Hata hivyo, taarifa zinasema nyota huyu yupo tayari kuondoka, na ataridhika ikiwa atalipwa mshahara wake wa nusu msimu, katika makubaliano ya kusitisha mkataba wake.

Suarez na rafiki yake Messi, wapo katika hatua za mazungumzo kuweka sawa suala alao la uhamisho. Lakini, maamuzi ya Messi kuondoka au kusalia Barcelona yanatajwa kutokuwa na athari yeyote kwa hatma ya staa huyu.

Suarez alijiunga na Barcelona akitokea Liverpool. Ilikuwa ni mwaka 2014 alipoingia klabuni hapo, amefunga jumla ya magoli 198 katika mechi 283 alizocheza Barca.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya Italia Luis Suarez anahitaji kufaulu vigezo vya uraia wa Italia ili kuweza kukamilisha mpango huo wa kuichezea Serie A.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza sasa

40 Komentara

    Utam juve kuwasil

    Jibu

    Hongera Juve kwa kupata jembe

    Jibu

    Karibu juve !!

    Jibu

    Kila la kheri Kama deal hlo litakuwah Done

    Jibu

    Luis suarez asubiri kwanza wafanye mazungumzo na klabu ya Barcelona ndiyo apewe ruksa ya kwenda juve

    Jibu

    juve kama wamemchukua suarez wamepata kiungo mzuri sana

    Jibu

    Uamuzi sahihi sana kwa Suarez na msimu ujao Juve Bingwa Uefa

    Jibu

    Juve wajitahidi waondoke na Suarez jamaa yupo fiti sana atawafaa wana juve

    Jibu

    Uwamuz mzr san

    Jibu

    Kila la kheri Kama deal hlo litakuwah Done

    Jibu

    juve msimu unaokuja watakua moto wa kuotea mbali

    Jibu

    Itakua vizuri kama Suarez hataondoka Barcelona pale kuchakua na doa tena ukiangalia Suarez bado yupo vizuri tu hanaitaji nafsi nzuri tu yakuonesha kipaji chake

    Jibu

    Suarez naona ameshachoka kukaa Barcelona bora atimkie club zingine huko akabadili upepo

    Jibu

    Karibu Juventus

    Jibu

    Luis Suarez ni mchezaji mzuri bado ana nafasi ya kuendelea kufanya vzr pamoja na umri wake wa miaka 33#meridianbettz

    Jibu

    Juve mmefanya jambo jema sana kumchukua jembe ilo#Meridianbettz

    Jibu

    Safii sana juve

    Jibu

    Ujakosea!!

    Jibu

    Safi sana juve

    Jibu

    Juve wa mempata kiungo mzuri Sana mpambanaji anaejituma mzee wakaz

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Hata hivyo, taarifa zinasema nyota huyu yupo tayari kuondoka, na ataridhika ikiwa atalipwa mshahara wake wa nusu msimu, katika makubaliano ya kusitisha mkataba wake.

    Jibu

    Safi sana juve

    Jibu

    Suarez ndani ya Juventus Mambo ni Moto

    Jibu

    Akachez na mess dah

    Jibu

    Msimu ujao juve itapata ubingwa maana sio powa

    Jibu

    Kila la kheri Kama deal hlo litakuwah Done

    Jibu

    Ng’ata ng’ata huyo haya kapambane

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Saf Sana

    Jibu

    Uamuzi sahihi sana kwa Suarez na msimu ujao Juve Bingwa Uefa

    Jibu

    Panamfaa kabisaaaa

    Jibu

    Uamuzi sahihi kwa suarez#meridianbettz

    Jibu

    juve kama wamemchukua suarez wamepata kiungo mzuri sana

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Deal ikitimia juve watakua vizur

    Jibu

    Safii sana unaenda kukutana na jeshi cr7

    Jibu

    Bora Luis aende tu Juve

    Jibu

    Daah Juventus itakuwa ya moto balaa

    Jibu

    Safi sanaaa

    Jibu

Acha ujumbe